Yanga yaachwa na ndege Algeria

Jangwani kumekuwa kimyaaa ha ha ha wapi hadji manara uje useme neno hapa....
 
Usimpangie mtu cha kuposti kwa nini wewe usilete huo uchambuzi kama unajua kwani bandle ni la kwako? Kwani hiyo habari siyo ya kimichezo? Tangia msindiliwe akili zenu haziko sawa
 
Usimpangie mtu cha kuposti kwa nini wewe usilete huo uchambuzi kama unajua kwani bandle ni la kwako? Kwani hiyo habari siyo ya kimichezo? Tangia msindiliwe akili zenu haziko sawa
Pita kushoto, huko utakongwa na treni ya umeme
 
ukichimama nchumari ukikaa nchumariπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Pita kushoto, huko utakongwa na treni ya umeme
Ww kweli akili zako matope anzisha uzi wako ndio ulete uchambuzi usimfosi mtu kuposti kitu ambacho yeye hana uundani wake kwani ww hujui yanga kafungwa kwa sababu ya uumbea wake kwa kutokwa na mapovu?
 
Ww kweli akili zako matope anzisha uzi wako ndio ulete uchambuzi usimfosi mtu kuposti kitu ambacho yeye hana uundani wake kwani ww hujui yanga kafungwa kwa sababu ya uumbea wake kwa kutokwa na mapovu?
Aaah, uwezo mdogo huu wa kupambanua mambo ya kitaaluma, napoteza muda tu hapa
 
Taarifa.

Boniface mkwasa,. Amethibitisha kua club ya yanga inaomba msaada Kwa MC Alger ili iwasaidie sehem ya kulala, kula na usafiri.... Kwa siku NNE huku wachezaji wakirudi Kwa mafungu Tanzania. Wengine watapitia uturuki,wengine Dubai.

Yanga Kwa sasa inakumbwa na tatizo LA kiuchumi Kwa sasa.

Sports extra. By katibu mkuu WA yanga.
 
We jamaa ni pimbi, sasa kama habari Haina maana kwako umekomaa Nini kwenye hii post??

Si upite kushoto uende kazini kwako??

Una hasira kweli, au wewe naye mmoja WA wamiliki WA mtandao usiokuwa na kasi yoyote uitwao VYURATEL, japo una 4g??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…