Yanga yaalikwa kushiriki michuano ya CECAFA Rwanda

Huku tena chura fc wamepitia viti maalumu!

Bingwa wa viti maalumu!
 
Mbona hajawaalika na KMC! huyu Musonye anafikiri tutaogopa kushiriki au tutaenda kama ma underdog! Ngoja akaushudie "mziki" wa Yanga mpya! Nguvu moya!
Mkipangwa na As Vita club mtashangilia timu ipi hapo??
 
Ivi huyu Nikolas Musonye ni katibu mkuu wa kudumu wa CECAFA au CECAFA ni ya kwake... Maana nimeanza kumsikia tokea nipo primary
 

eti nmusonye@yahoo.com yaani cecafa hawana hata domain yao na email zao au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…