Yanga yaalikwa Malawi Sherehe za Uhuru

Hii siyo sifa hata hao wachezaji hawajapenda kabisa basi tu mtu katumika msimu mzima mapumziko ni muhimu kwa afya ya mwili na akili...
Pilau linawapeleka kiyela kusini kwenye mashamba ya mpunga
 
Muli bwanji
 
Na mkitoka huko mnaenda kuweka kambi Kigamboni

Mwaka jana sababu ilikuwa Azizi Ki kuzoa pesa zote.

Safari hii hakuna hela, ile baki ya faida tumelipia deni FIFA.
Dah!
Chuki yako kwa wananchi inaonekana kuwa kubwa kuliko hata upenzi wako kwa kolowitches.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…