Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Sema hizi zinaweza kutengenezwa tu na watu.Soma mwenyewe hapo barua imetoka jana saa mbili usiku
Ngoja tusubiri taarifa kamili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema hizi zinaweza kutengenezwa tu na watu.Soma mwenyewe hapo barua imetoka jana saa mbili usiku
It's now confirmed nimesikia kwenye redio taarifa za michezo wanazungumzaSoma mwenyewe hapo barua imetoka jana saa mbili usiku
Huwezi amini...Click to expand...
Huwa Napenda Sana ushabikie habari ambazo ni 100% conformed. Otherwise habari hiyo uiandike kama tetesi. Micky Jr dakika 30 zilizopita kaandika kitu tofauti na hiki. Siwezi kumtag Huyo hapo juu maana ni mwanafunzi kwenye utoaji wa Taarifa. Mimi nadeal na wewe Nguli.Kama kawaida yao wakapuuza agizo la FIFA wakijua ni TFF ya Karia.
Yanga ni home of thugs
HawajafungiwaKama kawaida yao wakapuuza agizo la FIFA wakijua ni TFF ya Karia.
Yanga ni home of thugs
Ni Micky Jr Huyo Huyo.Kama kawaida yao wakapuuza agizo la FIFA wakijua ni TFF ya Karia.
Yanga ni home of thugs
Utaingizwa king bora uwe na akiba ya maneno huyo Micky ni muongo kama ManaraKama kawaida yao wakapuuza agizo la FIFA wakijua ni TFF ya Karia.
Yanga ni home of thugs
Vyanzo vingi vimeripotiNi Micky Jr Huyo Huyo.View attachment 2673069
Mimi sijatumia chanzo chake, nimeangalia mtandaoni nimeona news kwenye majarida mbalimbali ya kimichezoUtaingizwa king bora uwe na akiba ya maneno huyo Micky ni muongo kama Manara
PointHuwa Napenda Sana ushabikie habari ambazo ni 100% conformed. Otherwise habari hiyo uiandike kama tetesi. Micky Jr dakika 30 zilizopita kaandika kitu tofauti na hiki. Siwezi kumtag Huyo hapo juu maana ni mwanafunzi kwenye utoaji wa Taarifa. Mimi nadeal na wewe Nguli.