Yanga yaihitimisha mzunguko wa kwanza kwa kuisambaratisha Ruvu Shooting magoli 2 kwa 1

Yanga yaihitimisha mzunguko wa kwanza kwa kuisambaratisha Ruvu Shooting magoli 2 kwa 1

ff6921870b79e797dd97d477691b8d62.jpg
d9e21fbf8c13699d3fe0b8a47f1193c9.jpg
huyu fundi ipo cku atamvunja mtu kiuno
Hafai huyu jamaa.
Dah msimu umeisha nimekasirikaaaaa [emoji17]
 
Hafai huyu jamaa.
Dah msimu umeisha nimekasirikaaaaa [emoji17]
Acha tu ligi isimame kidogo kama ingeendelea sidhani kama nchi hii ingekalika,majirani wangehamia kutuvunja miguu mitaani,wanakuaga na hasira sana,ref pale taifa.
 
Acha tu ligi isimame kidogo kama ingeendelea sidhani kama nchi hii ingekalika,majirani wangehamia kutuvunja miguu mitaani,wanakuaga na hasira sana,ref pale taifa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hawa sio wa kuhofia hasira zao mkuu,tena inatakiwa tuzidi kuwafanya wachukie zaidi.

Hivi mzunguko wa pili utaanza lini?
Dec au January?
 
Back
Top Bottom