Yanga yaihitimisha mzunguko wa kwanza kwa kuisambaratisha Ruvu Shooting magoli 2 kwa 1

Hafai huyu jamaa.
Dah msimu umeisha nimekasirikaaaaa [emoji17]
Acha tu ligi isimame kidogo kama ingeendelea sidhani kama nchi hii ingekalika,majirani wangehamia kutuvunja miguu mitaani,wanakuaga na hasira sana,ref pale taifa.
 
Acha tu ligi isimame kidogo kama ingeendelea sidhani kama nchi hii ingekalika,majirani wangehamia kutuvunja miguu mitaani,wanakuaga na hasira sana,ref pale taifa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hawa sio wa kuhofia hasira zao mkuu,tena inatakiwa tuzidi kuwafanya wachukie zaidi.

Hivi mzunguko wa pili utaanza lini?
Dec au January?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…