SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Timu ya Yanga Wakereketwa ya huko Wilaya ya Sengerema imefanikiwa kuingia robo fainali ya Kafulila Cup baada ya kuifunga timu ya MC Gara B FC goli 4-0.
Pichani, wachezaji wa Yanga wakishangilia goli la 3 kwa kumtekenyatekenya mwamuzi
Matokeo hayo yanafuta machozi matokeo mabaya timu ya Yanga iliyoyapata ya kutolewa na timu ya MC Algier ya Algeria katika kombe la CAFCL.
Pichani, wachezaji wa Yanga wakishangilia goli la 3 kwa kumtekenyatekenya mwamuzi
Matokeo hayo yanafuta machozi matokeo mabaya timu ya Yanga iliyoyapata ya kutolewa na timu ya MC Algier ya Algeria katika kombe la CAFCL.