Kwenye wale mbu watatu(mbu+mbu+mbu) wa mzee rage, we ni mbu gani kati ya anopheles, culex & aedes?Timu ya Yanga Wakereketwa ya huko Wilaya ya Sengerema imefanikiwa kuingia robo fainali ya Kafulila Cup baada ya kuifunga timu ya MC Gara B FC goli 4-0.
View attachment 3204773
View attachment 3204769
Matokeo hayo yanafuta machozi matokeo mabaya timu ya Yanga inayotegemea kuyapata ya kutolewa na timu ya MC Algier ya Algeria katika kombe la CAFCL.
Hizi ni faraja za lala salama, ni haki yenu kujifariji.Hongereni kwa kusonga mbele kwenye Kafulila Champions League. Mnaenda kucheza na Al Ahly Nyamagana FC katika mchezo ujao.
Binafsi nilishaacha kuheshimu watu JF.Timu ya Yanga Wakereketwa ya huko Wilaya ya Sengerema imefanikiwa kuingia robo fainali ya Kafulila Cup baada ya kuifunga timu ya MC Gara B FC goli 4-0.
View attachment 3204773
View attachment 3204769
Pichani, wachezaji wa Yanga wakishangilia goli lao la 3.
Matokeo hayo yanafuta machozi matokeo mabaya timu ya Yanga inayotegemea kuyapata ya kutolewa na timu ya MC Algier ya Algeria katika kombe la CAFCL.
Hilo Kafulila Cup lazma walibebeKombe lao hili hapaView attachment 3205468
YAMETIMIATimu ya Yanga Wakereketwa ya huko Wilaya ya Sengerema imefanikiwa kuingia robo fainali ya Kafulila Cup baada ya kuifunga timu ya MC Gara B FC goli 4-0.
View attachment 3204773
View attachment 3204769
Pichani, wachezaji wa Yanga wakishangilia goli la 3 kwa kumtekenyatekenya mwamuzi
Matokeo hayo yanafuta machozi matokeo mabaya timu ya Yanga inayotegemea kuyapata ya kutolewa na timu ya MC Algier ya Algeria katika kombe la CAFCL.
Aya sasa, tukitoa wale wawili wenye akili mnabaki wakosa akili wangapi huko? Pole sana mkosa akili[emoji23]Kwenye wale mbu watatu(mbu+mbu+mbu) wa mzee rage, we ni mbu gani kati ya anopheles, culex & aedes?