Yanga yaingia top 5 ya tuzo za club Africa CAF

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
π“πŽπ πŸ“[emoji2956][emoji617]

Baada ya mchujo kutoka 10 bora, Young Africans SC rasmi tumeingia 5 Bora kwenye Tuzo za Klabu Bora ya Mwaka Barani Afrika #cafawards2023
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko🟒🟑

Timu zilizopenya hatua ngumu ya Tano Bora 5 ( no ambayo makolo wanakimbia)[emoji1][emoji23]

1.Mamelodi sundown
2. Al ahly
3. Wydad Casablanca
4. Young Africa
5. USM Alger
NB Maendeleo hayana Chama
 
Kwa upande wa timu za taifa tumetoka

KUTOKA CAF LEO HII!!

Tano Bora ya timu za Taifa:

[emoji3514] Gambia [emoji1108]
[emoji3514] Senegal [emoji1211]
[emoji3514] Mauritania [emoji1163]
[emoji3514] Morocco [emoji1173]
[emoji3514] E. Guinea

[emoji777] Tanzania tumetoka

Tano Bora ya Magolikipa
[emoji3514] El Shenawy [emoji1093]
[emoji3514] Andre Onana [emoji1062]
[emoji3514] Yassine Bounou [emoji1173]
[emoji3514] Ronwen Williams [emoji1221]
[emoji3514] Edouard Mendy [emoji1211]

[emoji777] Djigui Diarra ametoka.

#CAFAwards2023
#FutbalPlanetUpdates
 
Mpaka itabaki Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…