Yanga yaingia top 5 ya tuzo za club Africa CAF

Yanga yaingia top 5 ya tuzo za club Africa CAF

AFL inaingiaje hapo?Hizo nitakwimu za msimu ulioisha,je mamelodi alikuwa bingwa wa AFL msimu uliopita??
Sawa,kama ni points walizovuna,leta kila timu hapo imevuna points ngapi msimu uliopita labda mjadala ndo utakuwa rahisi
 
𝐓𝐎𝐏 𝟓[emoji2956][emoji617]

Baada ya mchujo kutoka 10 bora, Young Africans SC rasmi tumeingia 5 Bora kwenye Tuzo za Klabu Bora ya Mwaka Barani Afrika #cafawards2023
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko🟢🟡

Timu zilizopenya hatua ngumu ya Tano Bora 5 ( no ambayo makolo wanakimbia)[emoji1][emoji23]

1.Mamelodi sundown
2. Al ahly
3. Wydad Casablanca
4. Young Africa
5. USM Alger
NB Maendeleo hayana Chama View attachment 2816505
hii ngoma ngumu ila tatu bora tunatoboa ahly,wydad na yanga
 
Nimebisha nini mbona unakuwa na kichwa mgando,nimesema kwenye huo mtoano wa top 5 iliyobaki Yanga anamzidi nani kwa takwimu iwe msimu huu au mda wote?
Hapo Yanga anakua wa 4 wa kwanza ni USMA wa pili Al Ahly tatu Wydad nne kiboko yenu
 
Asante kwa kushiriki jaribuni tena baadae....
FB_IMG_1700234697531.jpg
 
Back
Top Bottom