Kabisa mkuu... Maendeleo hayana ChamaKama vile supu isivyokuwa na club, hivyo hivyo tukuungane kuitakia Yanga mafanikio.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Au tuishie robo fainali [emoji23]Kwa sasa kocha gamondi kazi ya kiufundi ameifanya kwa 90% kilichobaki azidi kuwajenga kisaikolojia vijana kina Dickson Job na kundi lake kuwa hili kombe la cafcl mwaka huu ni Lao .
Yoyote atakayekuja ni Kipigo .
Tuombeane mema mkuu [emoji23]Mfano Yanga hapo atapenya vipi? Al Ahly bingwa wa CAF, Mamelodi bingwa wa African football league,Wydad kacheza fainali ya AFL na club bingwa,USM kacheza fainali ya shirikisho na bingwa wa Super Cup.
Wanaweza angalia nani kakusanya points nyng!!Mfano Yanga hapo atapenya vipi? Al Ahly bingwa wa CAF, Mamelodi bingwa wa African football league,Wydad kacheza fainali ya AFL na club bingwa,USM kacheza fainali ya shirikisho na bingwa wa Super Cup.
Fumbo gani tena hapo,kama unaona hilo ni fumbo basi kichwani kuna uwalakiniHili ni fumbo Kali sana kwa Makolo kila siku wako robo Tu na Kuga kiume.
Hata wewe ukiangalia utapenya vipi hapo,kwenye hiyo miamba we ndo wa mwishoTuombeane mema mkuu [emoji23]
Na no chizi kweli ndio maana kakupa kipigo kitakatitfuChizi hata aende mbali vipi lazma atarejea na makopo.
Mkuu point nyingi hao majamaa kila mwaka wapo,kumbuka points za shirikisho hazifanani na club bingwa,wenzako wamekusanya za club bingwa hadi wakachukua kombe,we umekusanya shirikisho ukafika fainali,sasa hapo nani kakusanya points zaidi ndani ya huo msimu?Wanaweza angalia nani kakusanya points nyng!!
Hata mtaani ukikaa vibaya chizi anaweza akakunyemelea akakuchapa,bado haishangaziNa no chizi kweli ndio maana kakupa kipigo kitakatitfuView attachment 2816587
mimba tena [emoji854] anyway hio ndio miamba ya Africa inayotambulika na CAFHata wewe ukiangalia utapenya vipi hapo,kwenye hiyo mimba we ndo wa mwisho
Sasa weka takwimu kwa timu moja moja hapo kwa huo msimu kwenye hao watano Yanga ni wa ngapi? Takwimu ziongee siyo ushabiki,iwe takwimu ya mda wote au kwa huo msimumimba tena [emoji854] anyway hio ndio miamba ya Africa inayotambulika na CAF
"Wivu sina ila roho inaniuma" Q Chief [emoji1787]Asante kwa kushiriki jaribuni tena baadae....
Mfano Yanga hapo atapenya vipi? Al Ahly bingwa wa CAF, Mamelodi bingwa wa African football league,Wydad kacheza fainali ya AFL na club bingwa,USM kacheza fainali ya shirikisho na bingwa wa Super Cup.
Hii ni dalili ya uchawi,Hamchukui ng'ooo....[emoji23][emoji23]