Yanga yaingia woga; yakataa kucheza friendly na Arta Solar 7 ya Djibout

Yanga yaingia woga; yakataa kucheza friendly na Arta Solar 7 ya Djibout

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Nina taarifa kwamba Arta Solar 7 ya Djibout iliwasilisha maombi ya kucheza mechi za kirafiki na Simba, Yanga na Azam. Club za Simba na Azam zilifurahishwa na maombi hayo na kuyakubali kama sehemu ya kujiandaa na mechi za kimataifa. Huku wenzao wa Yanga wakiyakataa maombi hayo.

Jambo hilo lilichukuliwa kama kuingia woga wa kufungwa. Ikumbukwe kwamba kocha wa Yanga hakuwahi kushinda mechi yeyote ya kimataifa, jambo linalotia shaka uwezo wake
 
Nina taarifa kwamba Arta Solar 7 ya Djibout iliwasilisha maombi ya kucheza mechi za kirafiki na Simba, Yanga na Azam. Club za Simba na Azam zilifurahishwa na maombi hayo na kuyakubali kama sehemu ya kujiandaa na mechi za kimataifa. Huku wenzao wa Yanga wakiyakataa maombi hayo.

Jambo hilo lilichukuliwa kama kuingia woga wa kufungwa. Ikumbukwe kwamba kocha wa Yanga hakuwahi kushinda mechi yeyote ya kimataifa, jambo linalotia shaka uwezo wake
Hiki kiherehere sijawahi kuona, si mkacheze nyie mliokubali unaumia nini?
 
Iyo timu sawasawa na Kotoko ni timu za Kariba yenu, uwezi kucheza mechi na timu isiyo na ushindani alafu ukajitathmini unafanya hivyo Kwa faida ya nani?
Ni Bora upate timu ya ligi kuu iliyo changamka na ikakupa mechi kuliko ao wa Djibut.
 
Iyo timu sawasawa na Kotoko ni timu za Kariba yenu, uwezi kucheza mechi na timu isiyo na ushindani alafu ukajitathmini unafanya hivyo Kwa faida ya nani?
Ni Bora upate timu ya ligi kuu iliyo changamka na ikakupa mechi kuliko ao wa Djibut.
Kwa hiyo ninyi kariba yenu ni KMC? Jana mmewapiga 2-1 kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa
 
Iyo timu sawasawa na Kotoko ni timu za Kariba yenu, uwezi kucheza mechi na timu isiyo na ushindani alafu ukajitathmini unafanya hivyo Kwa faida ya nani?
Ni Bora upate timu ya ligi kuu iliyo changamka na ikakupa mechi kuliko ao wa Djibut.
Huo uzoefu umeupata wapi hadi ukaandika hizo pumba?
 
Nina taarifa kwamba Arta Solar 7 ya Djibout iliwasilisha maombi ya kucheza mechi za kirafiki na Simba, Yanga na Azam. Club za Simba na Azam zilifurahishwa na maombi hayo na kuyakubali kama sehemu ya kujiandaa na mechi za kimataifa. Huku wenzao wa Yanga wakiyakataa maombi hayo.

Jambo hilo lilichukuliwa kama kuingia woga wa kufungwa. Ikumbukwe kwamba kocha wa Yanga hakuwahi kushinda mechi yeyote ya kimataifa, jambo linalotia shaka uwezo wake
Nafasi ya Senzo ipo wazi nenda kapeleke CV zako uwe mshauri na mtendaji it's like una ujuzi umeukalia, wakikataa nenda kamtoe Barbara ukae wewe
 
HATUCHEZI HATUCHEZI HATUCHEZI MECHI ZA FRIENDLY NA TIMU ZA NJE YA BONGO MNATAKA TUPATE AIBU KIPIMO CHETU NI SIMBA TU.
 
We unataka wacheze ili utoke ule mwiko????
Nina taarifa kwamba Arta Solar 7 ya Djibout iliwasilisha maombi ya kucheza mechi za kirafiki na Simba, Yanga na Azam. Club za Simba na Azam zilifurahishwa na maombi hayo na kuyakubali kama sehemu ya kujiandaa na mechi za kimataifa. Huku wenzao wa Yanga wakiyakataa maombi hayo.

Jambo hilo lilichukuliwa kama kuingia woga wa kufungwa. Ikumbukwe kwamba kocha wa Yanga hakuwahi kushinda mechi yeyote ya kimataifa, jambo linalotia shaka uwezo wake
 
Back
Top Bottom