Ni kweli Pan Africa wale tuliocheza nao kule Avic town ni washindani kuliko Kotoko[emoji3][emoji3][emoji3]Iyo timu sawasawa na Kotoko ni timu za Kariba yenu, uwezi kucheza mechi na timu isiyo na ushindani alafu ukajitathmini unafanya hivyo Kwa faida ya nani?
Ni Bora upate timu ya ligi kuu iliyo changamka na ikakupa mechi kuliko ao wa Djibut.
hahhahahha miongoni mwa wenye akili alosema sope?Samahani lakini
Hvi wewe ni mzee manara au jakaya kikwete?
Weeeeee kumbe walipigwa?Kwa hiyo ninyi kariba yenu ni KMC? Jana mmewapiga 2-1 kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa
Ushatoa hela ya mganga kwa ajili ya mechi ijayo ya simba wenzako wanaweka kwenye sahani mzee mpili ndo muweka hazinaIyo timu sawasawa na Kotoko ni timu za Kariba yenu, uwezi kucheza mechi na timu isiyo na ushindani alafu ukajitathmini unafanya hivyo Kwa faida ya nani?
Ni Bora upate timu ya ligi kuu iliyo changamka na ikakupa mechi kuliko ao wa Djibut.
Baada ya kucheza na Friends Rangers ikaja kucheza na SimbaMbona inacheza na Friends Rangers ya Manzese?
Sisi tunamtaka mke wetu Manyonyo FCNina taarifa kwamba Arta Solar 7 ya Djibout iliwasilisha maombi ya kucheza mechi za kirafiki na Simba, Yanga na Azam. Club za Simba na Azam zilifurahishwa na maombi hayo na kuyakubali kama sehemu ya kujiandaa na mechi za kimataifa. Huku wenzao wa Yanga wakiyakataa maombi hayo.
Jambo hilo lilichukuliwa kama kuingia woga wa kufungwa. Ikumbukwe kwamba kocha wa Yanga hakuwahi kushinda mechi yeyote ya kimataifa, jambo linalotia shaka uwezo wake
Yeah, mechi ya kimataifa, nyumbani na ugeniniBaada ya kucheza na Friends Rangers ikaja kucheza na Simba
Arta solar wewe umeona pana timu pale?Nina taarifa kwamba Arta Solar 7 ya Djibout iliwasilisha maombi ya kucheza mechi za kirafiki na Simba, Yanga na Azam. Club za Simba na Azam zilifurahishwa na maombi hayo na kuyakubali kama sehemu ya kujiandaa na mechi za kimataifa. Huku wenzao wa Yanga wakiyakataa maombi hayo.
Jambo hilo lilichukuliwa kama kuingia woga wa kufungwa. Ikumbukwe kwamba kocha wa Yanga hakuwahi kushinda mechi yeyote ya kimataifa, jambo linalotia shaka uwezo wake
wewe ni lile kundi mbali na Sunday na JK,ambalo linaona Friend Rangers na Somalia under 20 ndio timu ila sio mabingwa na Djibout