Yanga yaingiza wa 3 kikosi Bora Cha wiki CAF Simba 0

Yanga yaingiza wa 3 kikosi Bora Cha wiki CAF Simba 0

Kwa kikosi Bora Cha africa yanga imeingiza wachezaji watatu Kwa east Africa nzima

Musonda

Aziz ki

Yao

Swali: kwani Simba inashiriki CAF champions league.....mbna Haina mchezaji hata mmoja kwenye hii picha ....
Maendeleo hayana Chama [emoji23]View attachment 2916001

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ww ni lijingaaa...hivi huwa unawaza kwa kutumia nini? Unashangaa nini sasa...
Halafu mpaka muilinganishe Simba ndo mnapata kipimo sahihi au?
 
Kwa kikosi Bora Cha africa yanga imeingiza wachezaji watatu Kwa east Africa nzima

Musonda

Aziz ki

Yao

Swali: kwani Simba inashiriki CAF champions league.....mbna Haina mchezaji hata mmoja kwenye hii picha ....
Maendeleo hayana Chama [emoji23]View attachment 2916001

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kweli nimeamini simba ni wachonga barabara, haya mambo simba kashayafanya sana, na unaweza kuta kuna mwana yanga kazimia kisa hii taarifa maana kuingia robo tu wakapelekwa hadi ICU
 
Kwa kikosi Bora Cha africa yanga imeingiza wachezaji watatu Kwa east Africa nzima

Musonda

Aziz ki

Yao

Swali: kwani Simba inashiriki CAF champions league.....mbna Haina mchezaji hata mmoja kwenye hii picha ....
Maendeleo hayana Chama [emoji23]View attachment 2916001

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sijui huwa huna shughuriiiii! Kutwa kucha, unaiwaza Simba tu!
 
Ww ni lijingaaa...hivi huwa unawaza kwa kutumia nini? Unashangaa nini sasa...
Halafu mpaka muilinganishe Simba ndo mnapata kipimo sahihi au?
Pole mkuu.....hizo hasira zipeleke Kwa mudi .[emoji23][emoji23]alete quality players

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom