Yanga yaipiku tena Simba SC

Yanga yaipiku tena Simba SC

Vawulence

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2009
Posts
1,930
Reaction score
2,118
Jana klabu kubwa kuliko zote Afrika mashariki, Yanga ilikabidhiwa kombe la ubingwa wa kuifunga timu ya Simba SC huku ikiwa imebakiza mechi moja I tu akayopigwa July 18 2020.

Haya ni mafanikio makubwa kwa timu ya wananchi ndani ya muda mfupi kwani ndani ya mwezi mmoja wameweza kumsajili mchezaji wa bei kubwa Djuma shabani, wameweza kununua basi aina ya TATA lenye thamani ya bilion moja na wameingia mkataba na Azam Tv kwa miaka 10.

Hiki kinakuwa ni kikombe cha pili Yanga kukipata ndani ya msimu huu kwani awali walichukua kombe lenye hadhi ya juu zaidi barani Afrika, kombe la Mapinduzi.

Screenshot_20210715-200716_Samsung Internet.jpg
 
Jana klabu kubwa kuliko zote Afrika mashariki, Yanga ilikabidhiwa kombe la ubingwa wa kuifunga timu ya Simba SC huku ikiwa imebakiza mechi moja I tu akayopigwa July 18 2020.
Haya ni mafanikio makubwa kwa timu ya wananchi ndani ya muda mfupi kwani ndani ya mwezi mmoja wameweza kumsajili mchezaji wa bei kubwa Djuma shabani, wameweza kununua basi aina ya TATA lenye thamani ya bilion moja na wameingia mkataba na Azam Tv kwa miaka 10.
Hiki kinakuwa ni kikombe cha pili Yanga kukipata ndani ya msimu huu kwani awali walichukua kombe lenye hadhi ya juu zaidi barani Afrika, kombe la Mapinduzi.

View attachment 1855669
bro unapozungumzia kombe la mapinduzi unatakiwa ilipe heshma yake! Kusema ni kombe lenyne hadhi kubwa africa pekee nikutukosea heshma sisi de la mkunungu du utopilosahel! Hili nikombe lenye hadhi kubwa duniani na pia ulimwenguni kote! Tutake radhi mkuu
 
bro unapozungumzia kombe la mapinduzi unatakiwa ilipe heshma yake! Kusema ni kombe lenyne hadhi kubwa africa pekee nikutukosea heshma sisi de la mkunungu du utopilosahel! Hili nikombe lenye hadhi kubwa duniani na pia ulimwenguni kote! Tutake radhi
Mimi sikuongea katika hali ya past tense. Nilikuwa ninamaanisha wakati wa mbele yaani future tense. 😝
 
Back
Top Bottom