Tetesi: Yanga yajitosa kwa Lameck Lawi, Coastal Union yataka Milioni 250 ada ya uhamisho

Tetesi: Yanga yajitosa kwa Lameck Lawi, Coastal Union yataka Milioni 250 ada ya uhamisho

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Timu ya Coastal Union imepokea barua rasmi ya Klabu ya Yanga kumuhitaji beki wa kati Lameck Lawi, Coastal Union inataka millioni 250 kama ada ya usajili wa Lameck Lawi kutoka Yanga.

Soma, Pia: Simba wakubali yaishe kwa Lameck Lawi, aanza kwenye kikosi cha Coastal Union dhidi ya Mashujaa FC

Yanga pia imemuulizia Laurian Makame wa Fountain Gate kama itamkosa Lameck Lawi ambae ndio chaguo lao la kwanza.
1733902212225.png

Screenshot 2024-12-11 103123.png
 
Makame wa FOUNTAIN GATE ni mzuri mala mia kuliko huyo lawi.
 
Back
Top Bottom