@Matola umepotea sana hatukuoni siku hiziAzzam wanawapakia vumbi la Congo, nyinyi jitoweni akili tu kukata mauno kwenye ngoma isiyowahusu.
Tunaiombea KMC iwafumue Utopolo kimoko tu cha mkwezi
Upo uwezekano Mgunda akaondoka kabla ya Nabi
Mtamanuliwa kijinga hamtaaminiAzzam wanawapakia vumbi la Congo, nyinyi jitoweni akili tu kukata mauno kwenye ngoma isiyowahusu.
Nyinyi mnashindwa kuifunga Yanga ndio sembuse hizi takataka?Hv unahisi yanga anashinda mbele ya kmc..!!NEVER
πππHv unahisi yanga anashinda mbele ya kmc..!!NEVER
Ni ajabu Micho kuwepo?Yaani kocha mpya micho kaja..afu mnadanganywa kuwa nabi bado yupo??TUTAONA BAADA YA MECHI NA WATUNISIA KAMA BADO ATAKUEPO[emoji23][emoji23]
Kwahio nyinyi mmeshidwa kutufunga mnawasakizia KMC?Hv unahisi yanga anashinda mbele ya kmc..!!NEVER
[emoji1787]Kwahio nyinyi mmeshidwa kutufunga mnawasakizia KMC?