YANGA yakasirishwa na SIMBA SC, kumsajili BM33, watoa tamko

Uchebe alisema Simba haiwezi kuendelea kwakua kuna watu un educated, Ismail Aden Lage akiwa mweyekiti wa Simba alisema Simba ni Mbumbumbu mimi ninasema Simba bado ni mbumbumbu ila sasa wapo kwenye daraja la pekeyao ni next level .

Sisi mbumbu ila tutachukua ubingwa mara tano mfululizo ndio mtajua hamjui
 
tunaangalia kiwango cha mchezaji.
Sisi simba hatuna haja ya kuwakomoa yanga mchezaji mzuri tumempenda tumemsainisha kosa letu lipo wapi?

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Mimi ni Simba pia ila angalia hiki kikosi
Deo kanda
Ibrahim Ajib
Hassan dilunga
Luis Miquissone
Shiza Kichuya
Cloutus Chama
Francis Kahata
Hao wote wanatosha
Tatizo la hawa wazee wa Simba na Yanga wana ujinga yaani mtu aliwafunga goli moja ndio lazia wamtoe, upuuzi huu uishe
 
Mbona walisema wamembakiza Kelvin Yondani na Juma Abdul baadaye wakasema wameachana nao kwa kuwa wamegoma kusaini mikataba mipya?

Una uhakika gani Kama Morisson alikuwa na mkataba Kama mlivyoaminishwa?

Simba haikurupuki! Usilalamikie usilolijua!
Muongo wewe yondani na Abdul hawakuwepo kwenye list ya wachezaji waliobakishwa Bali uongozi ulisema unafanya nao mazungumzo kama watakubaliana basi watawajumuisha kwenye wachezaji wanaobaki na ikiwa hawatakubaliana basi wangeachana nao
 
Tunaenda kimataifa lazma tusajili
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Morison alishasema mkataba yanga waliopelekea ni feki,walighushi saini na pia wanasubiri TFF kuja na majibu
 
hahahahahahh yaaani weee uwe makini kwenye hili kuliko Senzo Mbatha anejulikana FIFA kuwa ni mtu wa mpira anaeujua vema uendeshaji wakee??
ushauri tuu vuta pumzi tuu jtatu wala si mbali
utasikia ya kusikiaa
 

He makubwa. Kumbe GSM ishavuta mshiko wa Mo!. Ila huyu Morson si aliletwa na GSM?. Hivyo wana haki ya kula faida.
 
Uchebe alisema Simba haiwezi kuendelea kwakua kuna watu un educated, Ismail Aden Lage akiwa mweyekiti wa Simba alisema Simba ni Mbumbumbu mimi ninasema Simba bado ni mbumbumbu ila sasa wapo kwenye daraja la pekeyao ni next level .
We jamaa inabd uwe karb na hospital mda wowote tutakupoteza afu utopolo wakose mtu wa kuwatetea hapa jamvini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…