...πππ.. Simba ndio klabu pendwa kwa Sasa.Kwa sasa yanga hawana cha kuifanya Simba hivyo wavumilie tu hakuna namna
Unakuwa kama mgeni kwenye Usajili wa bongo.Uchebe alisema Simba haiwezi kuendelea kwakua kuna watu un educated, Ismail Aden Lage akiwa mweyekiti wa Simba alisema Simba ni Mbumbumbu mimi ninasema Simba bado ni mbumbumbu ila sasa wapo kwenye daraja la pekeyao ni next level .
Mkataba ulioidhinishwa na FIFA ni ule wa miezi 6 tu, na uliisha Julai 14, Kuna madirisha mawili ya kufanya transfer ya mchezaji wa kimataifa, kubwa ni hili linaloendelea na kumalizika September 10, na dogo huisha January 31. Tukirudi kwenye huo Mkataba wa March wa miaka miwili, si Mkataba halali, na unapingwa kwa vipengele vingi tu lakini muhimu zaidi vipengele viwili. Kipengele cha kwanza umeghushiwa saini ya Morrison, kipengele hiki kitawapa wakati mgumu TFF kuamua, kwani Polisi hawana mamlaka ya kusema hiyo saini ni ya Morrison au sio ya Morrison, sana sana wanaweza sema mwandiko wa saini hiyo unafanana sana na ya Morrison, kimahakama hadi upatikane ushahidi mwingine utakao thibitisha pasi na Shaka kwamba ni Morrison ndiye aliye saini fomu hizo, ushahidi wa picha au video siku hizi haukubaliki sana. Kipengele cha pili ambacho kinauua kabisa huo Mkataba na kuufanya sio halali (Invalid) ni clause moja wapo ya.mkataba huo ambapo Yanga walitakiwa kumaliza malipo ya signing fee ndani ya mwezi moja, lakini Yanga walimwingizia pesa kwenye account mwezi Julai, hivyo tayari Yanga walikiuka masharti ya Mkataba Γ±a kuufanya void (Batili) na inasemekana Morrison aliiamuru benki yake irudishe hizo pesa kwa Yanga. Tayari imekula kwa Yanga, Morrison atakipiga Msimbazi msimu ujao.Uyo Morrison kwakua alisha idhinishwa na Tff kimatataifa kama ni mchezaji halali wa Yanga, ina maana inabidi Tff waiandikie barua Fiffa kwamba walikosea kumuidhinisha Morrison kwenda Yanga.
kwakua uyo mchezaji tayari yupo kwenye System za kimataifa kwa mfumo wa kimataifa wausajili kama mchezaji halali wa Yanga,
System haiwezi kukubali tena kumsajili mchezaji mmoja kuchezea timu mbili katika nchi mmoja.
Tff ikitokea waka mwidhinisha Morrison Simba, Yanga wata anzia moja kwa moja Caf au Fiffa. Kitakacho kuja kutokea Simba wataogopa kumchezesha kwakua timu zitamkatia rufaa Caff au Fiffa.Tunaposema Simba ni mbumbumbu fc tunazungumza kwa uhalisia kabisa.
Kwa sasa yanga hawana cha kuifanya Simba hivyo wavumilie tu hakuna namna
Yule no mghana sio mucongoNgoja aanze kugoma kutoka uwanjani ndio mjue mkongo huyo ni nani.
Uchebe alisema Simba haiwezi kuendelea kwakua kuna watu un educated, Ismail Aden Lage akiwa mweyekiti wa Simba alisema Simba ni Mbumbumbu mimi ninasema Simba bado ni mbumbumbu ila sasa wapo kwenye daraja la pekeyao ni next level .
Mzee Akilimali hayupo tenaDawa ni kumroga Morrison miguu iwe mizito
Yanga kusema kuwa Morisson ana mkataba hadi 2022, ni tosha uwa usajili wa mizengwe
Shame on Senzo, Mo Dewji na Simba
Huyu namuona kama Emmanuel Okwi wa Kipindi kile kabla hajawa "matured"Ila Morrison kaweza sana kucheza na akili za washabiki na viongozi wa Simba na Yanga
UsitufokeeMimi ni Simba pia ila angalia hiki kikosi
Deo kanda
Ibrahim Ajib
Hassan dilunga
Luis Miquissone
Shiza Kichuya
Cloutus Chama
Francis Kahata
Hao wote wanatosha
Tatizo la hawa wazee wa Simba na Yanga wana ujinga yaani mtu aliwafunga goli moja ndio lazia wamtoe, upuuzi huu uishe
View attachment 1531173
Daaaaaah huoni uzuri wa Morison, acha kufuatilia mpira basiSijui walimwona mzuri kwa mechi zipi za kutosha
Ukitaka kumuua adui unapiga kichwani. Mpinzani mkubwa wa simba ni yanga lazima umpige nje ya uwanja.Kwa hili Simba wameniangusha na mpira wa Bongo hauendelei kwa ujinga kama huu
Yaana wanasajili wachezaji bila kuongea na timu husika
Shame on them