Wakati yanga wanajadili ya Morison muda wa kusajili na kumpata kocha unaenda , in Manaraz voice.Hata hivyo huyu jamaa siyo mtu wa kumwamini ,na sijui kwanini simba waingie kwenye mgogoro usio na maana
Hujui mpira kuucheza hata wa mdomoni nao huujui?Kwa hili Simba wameniangusha na mpira wa Bongo hauendelei kwa ujinga kama huu
Yaana wanasajili wachezaji bila kuongea na timu husika
Shame on them
Hii essay ataisoma nani Sir?Tukiacha ushabiki wa Simba na Yanga mimi binafsi nadhani viongozi wa Simba walihitajika kutumia busara tu ya kawaida wangesubiri mpaka jumatatu ndio wamtangaze Morison kuwa mchezaji wao baada ya TFF kutoa uamuzi wake. Sielewi ni kwanini viongozi wa Simba wameshindwa kuwa na subira katika jambo hili dogo . Na ni nini kimewapa jeuri hiyo viongozi wa Simba ili hali mchezaji bado hukumu yake haijatolewa na TFF/ Polisi au hiyo hukumu imeshavuja? Je katika hali ya uswahili kama huu wapenzi wa mpira nchini waendelee kuamini kuwa Simba inaendeshwa kisasa? Viongozi wa Simba wamejiandaaje iwapo hukumu ikitokea kuwa Yanga wameshinda kesi dhidi ya Morison?
Yote kwa yote ukweli lazima usemwe kuwa Morisoni ni bonge la mchezaji ndani ya uwanja lakini nje ya uwanja jamaa ni "comedian" bab kubwa hata "makomediani" wenye fani yao wanazima fegi. Lakini napata mashaka sana na nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa zile komedi zote alizofanya Morison akiwa Yanga ilikuwa tu ni kwa sababu alikuwa ana ugomvi binafsi na viongozi waYanga na si tabia yake. Tabia ni kama ngozi haifichiki je viongozi wa Simba wamejiandaa vipi kukabiliana na vituko vya huyu mchezaji iwapo ataanza "ukomedian" wake pale Simba?
Mwisho nikiangalia kote Morison alikopita kuna sehemu moja au mbili hivi alikuwa na matatizo ya mikataba. Kwa hiyo hii sio kesi ya kwanza kuhusiana na mkataba wake wa kazi. Je GSM hawakuliona hili mapema na iwapo walilijua hili mapema je walichukua hatua gani? Je nao Simba hawalijui hili na kama wanalijua wamechukua tahadhari gani isije wakawa wahanga wa kuingizwa "king" na mtukutu Morison?
Jumatatu sio mbali nadhani ndio muda tutakapoanza kuona mwanga wa hili suala na majibu mengi sana wanaojiuliza wapenzi wa soka nchini yataanza kupata majibu baada ya TFF/ Polisi kutoa taarifa ya uchunguzi na maamuzi ya hili sakata. Na pia itakuwa fursa nzuri sana ya kuanza kumwelewa huyu mwamba wa Ghana maana mpaka sasa sidhani kama kuna mpenda soka nchini anayeweza kusimama mahali na kumwelezea huyu jamaa ni mtu wa nama gani kutoka na vitendo vyake anavyovifanya.
Acha wacheze na akili zaoWakati yanga wanajadili ya Morison muda wa kusajili na kumpata kocha unaenda , in Manaraz voice.
Wapinzani wa Simba niUkitaka kumuua adui unapiga kichwani. Mpinzani mkubwa wa simba ni yanga lazima umpige nje ya uwanja.
Ok inawezekana uko sahihi..lakini Simba watafanyaje usajili wakati suala liko tff?? Je wana watu ndani ya tff ambao waliwadokeza kuwa nyie endeleeni tu kwani mkataba wa Morrison ni wa forgery?Kaka Punguza jazba. Tatizo lenu Yanga mliahadaika na kukubali kukabidhi timu yenu kwa wauza jersey na matapeli maarufu hapa mjini .Simba wapo makini mno "Mwamwedi" hajawahi kuingizwa mkenge kirahisi hivyo subirini Jumatatu mpewe taarifa za usanii uliofanywa na hao matapeli wenu maarufu hapa mjini (Wazee wa Forgery). Na inawezekana wakafungiwa kudhamini Club yenu wasipojiangalia.
Sifa mojawapo ya kushiriki klab bigwa lazima ushinde ligi kuu bara, mshindani mkubwa wa simba ni yanga usisahau hilo mkuu.Wapinzani wa Simba ni
TP mazembe
Mamelodi Sundown
Al Ahly
Zamalek
Espérence de Tunis
Étoile du Sahel
Wydad Casablanca
Raja Casablanca
Waache kubaki na mawazo mgando, yaani viongozi wanajitamba eti tunasajili ili Yanga waumwe mioyo
Shame shame shame
Simba isajili ili ipambane CAF Champions league sio kupambania kombe mechi 38 mshindi wa kwanza anapewa tsh 100 milion
Wakati CAF Champions League
Mshindi 2.5 milion USD mechi 15 (5.625 Bilion tsh apprx.)
Nafasi ya 4 kwa group 550000 USD (1.2375 Billion tsh apprx.)
Yanga walisha peleka mkataba wa Morrison TFF tena mkataba ambao Tff kupitia mtaalamu wao wa TMS wali uidhinisha maana TFF wanaye mtaalamu wa TMS. Yanga wakapeleka malalamiko juu ya mchezaji wao Benard Morrison kurubuniwa na Simba wakati anamkataba wa miaka miwili na wao Tff kimsingi walisha utambua.
Jambo la kushangaza wakati Tff bado hawajatoa maamuzi ya malalamiko ya Yanga, Simba wamemtangaza rasmi kwamba Benard Morrison ni mchezaji waliye msajili. Sasa wapenzi wa mpira tusubiri Tff watachukua uamuzigani juu ya swala hilo.
Endapo timu ikibainika imemrubuni mchezaji pasipo klabu yake kushirikishwa adhabu zake nikama ifuatavyo. Mchezaji atafungiwa miezi 4 au miezi 6.
Klabu iliyo fanya kosa Itapewa moja ya adhabu zifuatazo.
Onyo, fain, kushushwa madaraja mawili, kuzuiwa kufanya usajili. Kwasasa tunawasubiri Tff kwakua picha ndio linaanza.
Bila Morisson tumeshinda mapema tu hiyo ligiSifa mojawapo ya kushiriki klab bigwa lazima ushinde ligi kuu bara, mshindani mkubwa wa simba ni yanga usisahau hilo mkuu.
Kamwe sishabikiii rangi ya njano na kijani neverMbona wewe umeumia sana ?why umeumia hivi? Sisi yanga tunafahamu uhuni wa GSM acha yatupate. Wewe unajiita simba na wakati ni yanga mwenzetu na sema tu we ni yanga nyani au mbwa. Luc Eymael. Gsm washenzi wameforge mkataba tunajua sisi tulio ndani
We muongo sana lini TFF walikiri kupokea mkataba mpya wa BM na Yanga? Hayo maneno ya huyo injinia wenu ndio yanakufanya uandike uongo ? Tshimbimbi jee? Mnajua mlivoji ila mlishindwa kwenye dole gumba sasa subirieni kibao kinavyo wageukia utalia.. hiiiiii [emoji23] vangoshaa
Kwa hili Simba wameniangusha na mpira wa Bongo hauendelei kwa ujinga kama huu
Yaana wanasajili wachezaji bila kuongea na timu husika
Shame on them
Uyo Morrison kwakua alisha idhinishwa na Tff kimatataifa kama ni mchezaji halali wa Yanga, ina maana inabidi Tff waiandikie barua Fiffa kwamba walikosea kumuidhinisha Morrison kwenda Yanga.
kwakua uyo mchezaji tayari yupo kwenye System za kimataifa kwa mfumo wa kimataifa wausajili kama mchezaji halali wa Yanga,
System haiwezi kukubali tena kumsajili mchezaji mmoja kuchezea timu mbili katika nchi mmoja.
Tff ikitokea waka mwidhinisha Morrison Simba, Yanga wata anzia moja kwa moja Caf au Fiffa. Kitakacho kuja kutokea Simba wataogopa kumchezesha kwakua timu zitamkatia rufaa Caff au Fiffa.Tunaposema Simba ni mbumbumbu fc tunazungumza kwa uhalisia kabisa.
Na za uhakika si ajabu hao Simba wakawa wamezipata huko huko TFF na ndio sababu hawana hofu.
Hakika sio wajinga wale.
Uchebe alisema Simba haiwezi kuendelea kwakua kuna watu un educated, Ismail Aden Lage akiwa mweyekiti wa Simba alisema Simba ni Mbumbumbu mimi ninasema Simba bado ni mbumbumbu ila sasa wapo kwenye daraja la pekeyao ni next level .
Na Lucy Emael alisema mashabiki wa Yanga ni kina naniUchebe alisema Simba haiwezi kuendelea kwakua kuna watu un educated, Ismail Aden Lage akiwa mweyekiti wa Simba alisema Simba ni Mbumbumbu mimi ninasema Simba bado ni mbumbumbu ila sasa wapo kwenye daraja la pekeyao ni next level .
Endeleeni kubweka kama mbwa..mnatapatapa tu..mtaongea yote safar hii..Sasa unadhani Yanga tutashinda? Tiefu efu kuanzia Karia hadi gardener ni Simba
Mikataba haianikwi hadharani Kama mitumba.Huo mkataba wa miaka 2 ni JANJA JANJA YA GSM.baada ya kuona morrison ameanza kunyatiwa na simba.
Walimsainisha miezi 6 ili kuangalia kipaji chake..
Waambieni GSM watoe mikataba yao na Morrison tuone imesainishwa miaka mingapi?.
Na walimlipa kiasi gani?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app