YANGA yakasirishwa na SIMBA SC, kumsajili BM33, watoa tamko

Hii essay ataisoma nani Sir?
 
Ukitaka kumuua adui unapiga kichwani. Mpinzani mkubwa wa simba ni yanga lazima umpige nje ya uwanja.
Wapinzani wa Simba ni
TP mazembe
Mamelodi Sundown
Al Ahly
Zamalek
Espérence de Tunis
Étoile du Sahel
Wydad Casablanca
Raja Casablanca

Waache kubaki na mawazo mgando, yaani viongozi wanajitamba eti tunasajili ili Yanga waumwe mioyo

Shame shame shame

Simba isajili ili ipambane CAF Champions league sio kupambania kombe mechi 38 mshindi wa kwanza anapewa tsh 100 milion
Wakati CAF Champions League
Mshindi 2.5 milion USD mechi 15 (5.625 Bilion tsh apprx.)
Nafasi ya 4 kwa group 550000 USD (1.2375 Billion tsh apprx.)
 
Ok inawezekana uko sahihi..lakini Simba watafanyaje usajili wakati suala liko tff?? Je wana watu ndani ya tff ambao waliwadokeza kuwa nyie endeleeni tu kwani mkataba wa Morrison ni wa forgery?
 
Sifa mojawapo ya kushiriki klab bigwa lazima ushinde ligi kuu bara, mshindani mkubwa wa simba ni yanga usisahau hilo mkuu.
 

We muongo sana lini TFF walikiri kupokea mkataba mpya wa BM na Yanga? Hayo maneno ya huyo injinia wenu ndio yanakufanya uandike uongo ? Tshimbimbi jee? Mnajua mlivoji ila mlishindwa kwenye dole gumba sasa subirieni kibao kinavyo wageukia utalia.. hiiiiii [emoji23] vangoshaa
 
Mbona wewe umeumia sana ?why umeumia hivi? Sisi yanga tunafahamu uhuni wa GSM acha yatupate. Wewe unajiita simba na wakati ni yanga mwenzetu na sema tu we ni yanga nyani au mbwa. Luc Eymael. Gsm washenzi wameforge mkataba tunajua sisi tulio ndani
Kamwe sishabikiii rangi ya njano na kijani never
 
Hata kidole gumba walifoji waliweka cha hersi. Hawa jamaa ni manyani kweli kweli.

 
Yaani we hapo una akili kuwazidi Simba?

Hata kuandika FIFA tu hujui,uandishi tu unaonesha jinsi ulivyo bogus,leo unawezaje kuisema Simba wewe?
 
Na za uhakika si ajabu hao Simba wakawa wamezipata huko huko TFF na ndio sababu hawana hofu.

Hakika sio wajinga wale.

Washabiki wa hizi timu mbili tumekaa kama washabiki wa kisiasa, tunapelekwa pelekwa sana na viongozi wa hizi timu kama majuha.

Jinsi Yanga wanavyodanganywa na viongozi wao hili sakata la Morrison ni sawa na tulivyowahi kudanganywa kuhusu kupeleka malalamiko FIFA ya kadi ya njano ya Kagera Sugar.
 
Simba wamechungulia kule TFF, kujua kama kuna Mkataba kati ya Yanga na Morison, wamekuta hakuna. Wamesainisha !!!!. Maana Yanga walipeleka Makataba wa Morison TFF na kuusajiri(Kazi ya TFF ni kusajiri Mkataba tu) ambao huyo Morison mwenyewe hautambui na hakuusaini. The contract between parties (Morison and Yanga) is void due to one part (Morison) claim and verification that, those names and signatures on it, is not and never casted by him (Hiyo sheria ya Mikataba iliyovunjika kwa mtu wa upande mmoja wa mkataba kuthibitisha kwamba jina na saini kwenye mkataba sikuiweka mimi), (Non Esto Factum rule). Yanga wanatakiwa kuwa welevu tu, shule muhimu.
 
Kocha wa Yanga alisema mashabiki wa Yanga hawajaenda shule na hawajui lolote kuhusu mpira wanabweka Kama mbwa au nyani. Na Mimi nasisitiza maneno hayo
Uchebe alisema Simba haiwezi kuendelea kwakua kuna watu un educated, Ismail Aden Lage akiwa mweyekiti wa Simba alisema Simba ni Mbumbumbu mimi ninasema Simba bado ni mbumbumbu ila sasa wapo kwenye daraja la pekeyao ni next level .
 
Timu ya YANGA mimi nikiwa mwanachana inpaswa kuwa kali sana kiasi iwe vigumu kwa marefa na TFF kuihijumu. Ref hawezi kukataa goli mbilI au tatu zilizoingia. Na hawezi idhinisha goli la mpinzani lisiloingia. Kuna utatu mchafu kati ya SIMBA, TFF na ...........! No wonder Manara anatamba miaka 10 mfululizo wanachukua! Kwa TFFF hii ni ngumu yanga kuchukua kombe au kupata haki yeyote!
 
Mikataba haianikwi hadharani Kama mitumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…