YANGA yakasirishwa na SIMBA SC, kumsajili BM33, watoa tamko

Sisi mashabiki ndo tunapokosea, Hivi kwa timu ile ya Yanga ingeweza kuchukua ubingwa kweli?
Tuache kucheza ngoma ambayo inawapa nafasi viongozi wa vilabu vyetu ili washindwe kuwajibika.
Kipindi Yanga iko vizr Simba tulikua tunachezeshwa ngoma hiyo hiyo kua TFF inawabeba Yanga wakati kiuhalisia timu yetu ilikua mbovu.
 
Simba imefanya utahira Jana tuna safari ndeefu katika soka letu watanzania na ili tubadilike yatupasa kuondoa Hawa viongoz wa kiswahili Swahili
 
Sikupenda Simba imsajili Morrison kuna uwezekano akaja kuvuruga dressing room yetu na kuvuruga muunganiko wetu wakitimu ni mchezaji mzuri ila anacheza sana na jukwaa, benchi la ufundi inabidi liwe makini sana.
 
Boss ukitama unagundua kuna mistake walifanya yanga so wanaona bora kufa kiume.but why picha za morrison akisinya ni moja tu?,pia contract inayooneshwa ni ile ya 6months?pia navyosikia huo mkataba wa 2yres hauna fungerprint ya morrison,pia waliingiza pesa nusu baadae baada ya kuona kimenuka so viongozi wakubali kuna uzembe umefanyika.am telling morrison anachomoka kwenye hili ndo maana yanga wanatumia nguvu kujibu kuwatuliza fans..mwishoe wataangushia jumba bovu tff....mkataba uwe valid lazima utimize matakwa ya mkataba immediately
 
Mbona walisema wamembakiza Kelvin Yondani na Juma Abdul baadaye wakasema wameachana nao kwa kuwa wamegoma kusaini mikataba mipya?

Una uhakika gani Kama Morisson alikuwa na mkataba Kama mlivyoaminishwa?

Simba haikurupuki! Usilalamikie usilolijua!
Lini walisema wamewabakisha?taarifa ilitolewa kuwa Yondani na Juma wapo kwenye maongezi kuhusu kuongeza Mkataba wakishindwana wanawaacha.
 
Hata kidole gumba walifoji waliweka cha hersi. Hawa jamaa ni manyani kweli kweli.
Hauna tofauti na Eymael...racist...uncivilized...idiot and a stupid football fan...very stupid indeed..you don't even know why why some whites call Africans monkeys..a black calling another black nyani..very stupid and uneducated..
 
Are you a monkey? Why have you panicked this much? You are one of the people who caused people like Eymael to call us Yanga Monkeys and Dogs. Not all Young Africa Fans are Dogs and Monkeys like you. 🦍🦍🦍🦍🦍🦍

Hauna tofauti na Eymael...racist...uncivilized...idiot and a stupid football fan...very stupid indeed..you don't even know why why some whites call Africans monkeys..a black calling another black nyani..very stupid and uneducated..
 
Ha ha ha ha , wewe Jamaa
 
Sikupenda Simba imsajili Morrison kuna uwezekano akaja kuvuruga dressing room yetu na kuvuruga muunganiko wetu wakitimu ni mchezaji mzuri ila anacheza sana na jukwaa, benchi la ufundi inabidi liwe makini sana.
Kule alikua na njaa ndio maana, huku hawezi coz kunashibe. Sikuzote boss ukishakuwa na njaa hata mfanyakazi hawezi kukuheshimu
 
Kama hizi timu simba na yanga zingekua ulaya nahisi zingepigwa faini kubwa sana zote 2 na kushushwa madaraja huko hawawezi kufanya mambo yakibabaishaji kama hivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…