E Elias Misinzo Maligo Senior Member Joined Apr 7, 2019 Posts 140 Reaction score 122 Aug 9, 2020 #141 The Transporter said: Kwa sasa yanga hawana cha kuifanya Simba hivyo wavumilie tu hakuna namna Click to expand... FAFANUA USIONGEE KAMA MSANII.
The Transporter said: Kwa sasa yanga hawana cha kuifanya Simba hivyo wavumilie tu hakuna namna Click to expand... FAFANUA USIONGEE KAMA MSANII.
Wazolee JF-Expert Member Joined Sep 1, 2018 Posts 3,183 Reaction score 3,660 Aug 9, 2020 #142 Soka la bongo linatakiwa liwepo katika maajabu saba ya Dunia
Da Gladiator JF-Expert Member Joined Aug 3, 2020 Posts 1,641 Reaction score 2,646 Aug 9, 2020 Thread starter #143 Noti bandia said: Kule alikua na njaa ndio maana, huku hawezi coz kunashibe. Sikuzote boss ukishakuwa na njaa hata mfanyakazi hawezi kukuheshimu Click to expand... Upo. Sahihi, Yanga wana njaaa.
Noti bandia said: Kule alikua na njaa ndio maana, huku hawezi coz kunashibe. Sikuzote boss ukishakuwa na njaa hata mfanyakazi hawezi kukuheshimu Click to expand... Upo. Sahihi, Yanga wana njaaa.
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,797 Reaction score 28,904 Aug 9, 2020 #144 Mkongwee said: hahahahahahh yaaani weee uwe makini kwenye hili kuliko Senzo Mbatha anejulikana FIFA kuwa ni mtu wa mpira anaeujua vema uendeshaji wakee?? ushauri tuu vuta pumzi tuu jtatu wala si mbali utasikia ya kusikiaa Click to expand... Mbumbumbu haya Senzo huyo kasepa zake kuepuka aibu
Mkongwee said: hahahahahahh yaaani weee uwe makini kwenye hili kuliko Senzo Mbatha anejulikana FIFA kuwa ni mtu wa mpira anaeujua vema uendeshaji wakee?? ushauri tuu vuta pumzi tuu jtatu wala si mbali utasikia ya kusikiaa Click to expand... Mbumbumbu haya Senzo huyo kasepa zake kuepuka aibu