Elias Misinzo Maligo
Senior Member
- Apr 7, 2019
- 140
- 122
FAFANUA USIONGEE KAMA MSANII.Kwa sasa yanga hawana cha kuifanya Simba hivyo wavumilie tu hakuna namna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FAFANUA USIONGEE KAMA MSANII.Kwa sasa yanga hawana cha kuifanya Simba hivyo wavumilie tu hakuna namna
Upo. Sahihi, Yanga wana njaaa.Kule alikua na njaa ndio maana, huku hawezi coz kunashibe. Sikuzote boss ukishakuwa na njaa hata mfanyakazi hawezi kukuheshimu
Mbumbumbu haya Senzo huyo kasepa zake kuepuka aibuhahahahahahh yaaani weee uwe makini kwenye hili kuliko Senzo Mbatha anejulikana FIFA kuwa ni mtu wa mpira anaeujua vema uendeshaji wakee??
ushauri tuu vuta pumzi tuu jtatu wala si mbali
utasikia ya kusikiaa