Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Mbona walisema wamembakiza Kelvin Yondani na Juma Abdul baadaye wakasema wameachana nao kwa kuwa wamegoma kusaini mikataba mipya?Juzi yanga wametoa list ya wajezaji walioachwa, Morisson amebakishwa, leo unatangaza umemsajili mchezaji bure, yanga wanasema wana mkataba hadi 2022
Haya mambo ya kibabaishaji hayatakiwi yafanywe na Simba
Shame
I am disappointed kwa kweli
Una uhakika gani Kama Morisson alikuwa na mkataba Kama mlivyoaminishwa?
Simba haikurupuki! Usilalamikie usilolijua!