Yanga yakung'utwa 2-1 huu ni mwanzo tu

KAPUMBU mtu mbadi...awapiga uto goli la mbali...wahaha uwanja mzima..!aamua kuwafuata na kuwajaza akishangilia alivyowapiga goli..
 
Wamefanya makosa wangemwingiza winga aliyebuma akafukuzwa wao wakamwona anawafaa wakamsajili kwa dau la mara Kumi na tano ya alichokua anapokea namaanisha hajiiii.
 
Simba mnachonga sana wakati na nyie walewale tu, ebu tuacheni na siku yetu muhimu bana, tumefungwa sawa ila siyo mbaya next time tutaua mtu[emoji23]

Krismasi ni krismasi tu hata pilau ikiungua bado sherehe iko palepale
 
Yanga waliwaalika zanaco waje kwenye bononza ona sasa zanaco wamekuja kucheza mechi walitofautina lugha hawa
 
Simba mnachonga sana wakati na nyie walewale tu, ebu tuacheni na siku yetu muhimu bana, tumefungwa sawa ila siyo mbaya next time tutaua mtu๐Ÿ˜‚
Mtawafunga Wanigeria? Thubutuuu.

Ndio,kwa Mkapa mnaweza mkajitutumua.Ila kule machinjioni Surulele mtaliwa kiboga na ndo mtakatupwa nje ya CAFCL.

Nyinyi si mliona ni rahisi Simba ilipowapiga wale Wanageria?Mnafikiri nanyi mtaweza? Simba ilipoifunga Nkana mkasema Simba imecheza na timu ya kichovu.Leo Zanaco wamewafanya nini? NA NINAKWAMBIA HATA HAO NKANA WANGEWAGONGENI VIZURI TU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ