Yanga wakijitoa basi ntawadharau,hao Goro Mahia watakaocheza nao,wao hawashiriki Haya mashindano?.Michuano inaisha tare 13,yanga wanacheza tare 17 na goro mahia siku nne za mapumziko wanazo kama wakiingia fainali.
Suala wanalolikwepa yanga nikukutana na Simba,kwa sababu wanahofu wakifungwa hali ya hewa itachafuka.Nachowashauri CECAFA wawafungie yanga kushiriki mashindano haya kwa muda miaka 2 au 3,kama watakuwa wamejitoa ili mwakani wapate muda mzuri wakupumzika maana hawatokuwa kwenye mashindano yoyote ya kimataifa.