Mechi za simba na Yanga hazipimwi hivyo unavyodhani. Labda huzijui timu hizi. Simba na Yanga hupimwa kwa matukio ya nje uwanja. Kwenye siasa za Simba na Yanga nje ya uwanja mko vibaya, kwa kweli msithubutu kuingiza timu maana mtazalisha mgogolo wa muda mrefuTuwe wa kweli ...Simba kwa timu gani waifunge Yanga NNE...dakika 180 Kenya mnashindwa kupata hata goli moja..timu yenu ya kawaida sana msijipe moyo...Yanga msimu mbaya wanakaa chini tarehe kumi Mwenyekiti Manji anarudi kundini picha LA kutisha linaanza
Mikia walipokuwa wana matatizo, walikuwa wanashiriki michuano gani ya kimataifa kiasi cha kuwafanya wajitoe?Vyuraaaaaaaa!!!!!
Sasahivi mnadabu sana.. Nakumbuka simba pamoja na matatizo yanayojitokeza lakn haijawahi kujitoa kwenye mashindano kisa et kuiogopa yanga
Wachezaji wa simba wamepata nafasi ya kupumzika kwa muda mrefu...walikuwa wanawaza ligi kuu tu ila yanga walikuw kwnye competn nyingi.hata sport pesa wameenda kwakuwa wana mkataba nao lasivyo wasingeenda.Vyuraaaaaaaa!!!!!
Sasahivi mnadabu sana.. Nakumbuka simba pamoja na matatizo yanayojitokeza lakn haijawahi kujitoa kwenye mashindano kisa et kuiogopa yanga
ni kweli mkuu kwa wakati huu hali aliyonayo yanga,simba anaweza kushinda hata goli 6. viongozi hawataki fedhehaNi namba mkuu, Yanga wanajua wakiwa kwenye hali kama waliyonayo sasa mara nyingi wanafungwa magoli kuanzia 4, 5, 6 + Kwa siasa za Simba na Yanga ni bora kujiweka kando kuliko kubebeshwa mzigo kama huo. Yanga mna bahati maana Simba ingevunja rekodi zake zote za idadi ya magoli ilizojiwekea dhidi yenu
anatukana utadhani tupo kwenye magroup ya fb. humu watu wanabishana kwa hoja na mpira si uadui.Ametukana na amejipatia ban fasta. Safi sana
Taarifa zinaeleza kuwa uongozi wa klabu ya Yanga umewaandikia barua TFF kuwaomba kujitoa katika mashindano ya Kagame CUP yanayotarajiwa kuanza June 28 mpaka Julai 13 2018 jijini Dar es Salaam.
Sababu za msinngi zilizofikia Yanga kuandika barua hiyo ni kufanya maandalizi ya michunao ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo watacheza na Gor Mahia FC ya Kenya, Julai 18 jijini Nairobi.
Kutokana na muingiliano wa ratiba ya KAGAME na CAF, Yanga wameona ni vema kuwapatia wachezaji wao mapumziko ili kuwapa fursa ya kujiandaa vizuri kuelekea mechi hiyo ambayo itakuwa ni ya tatu baada ya kucheza na USM Alger pia Rayon Sports ya Rwanda.
Taarifa hizo zinazoelezwa kutoka Yanga kupitia viongozi wa Kamati ya Utendaji wa klabu hiyo, wameazimia kufanya maamuzi hayo ili kuepuka kubanwa na muingiliano wa ratiba hiyo ambayo imekuwa si rafiki kwao.
Kufuatia kuandika barua hiyo ya kuomba kujiondoa, Yanga wanakuwa wameikwepa Simba kwenye mashindano ambapo walikuwa wamepangwa pamoja na mabingwa hao wa Ligi Kuu Vodacom.
Simba na Yanga zimepangwa pamoja kwenye kundi C ambapo kuna timu zingine ambazo ni Dakadaha ya Somalia pamoja na St. George kutoka Ethiopia.
Chanzo: Salehe Jembe
Msitu wa Simba Digi digi huwezi kukaa..!Hao majamaa ni waoga
Tofautisha FIFA na CECAFA mashinɗano hayatamɓulik na FIFA ni kama bonanza..tu...Kwa hiyo ukiwa na bifu na mtendaji mmoja (tena wa kuajiriwa tu), ndio sababu ya kujitoa kwenye mashindano? Nchi ngapi zilikuwa zinatofautiana na Sepp Blatter wa FIFA? Ulishawahi kusikia zimejitoa kushiriki kombe la dunia? Hiyo sio sababu, kikubwa hapo ni kuikimbia Simba, kama ilivyofanya kule Nakuru kwenye SportPesa
Mi nakwamɓia mashindano unaniamɓia chama heɓ jitafakariHujui lolote, hata ya kwamba CECAFA ina affiliations na CAF na FIFA! Hakuna haja ya kujadiliana na wewe
View attachment 797656
Taarifa zinaeleza kuwa uongozi wa klabu ya Yanga umewaandikia barua TFF kuwaomba kujitoa katika mashindano ya Kagame CUP yanayotarajiwa kuanza June 28 mpaka Julai 13 2018 jijini Dar es Salaam.
Sababu za msinngi zilizofikia Yanga kuandika barua hiyo ni kufanya maandalizi ya michunao ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo watacheza na Gor Mahia FC ya Kenya, Julai 18 jijini Nairobi.
Kutokana na muingiliano wa ratiba ya KAGAME na CAF, Yanga wameona ni vema kuwapatia wachezaji wao mapumziko ili kuwapa fursa ya kujiandaa vizuri kuelekea mechi hiyo ambayo itakuwa ni ya tatu baada ya kucheza na USM Alger pia Rayon Sports ya Rwanda.
Taarifa hizo zinazoelezwa kutoka Yanga kupitia viongozi wa Kamati ya Utendaji wa klabu hiyo, wameazimia kufanya maamuzi hayo ili kuepuka kubanwa na muingiliano wa ratiba hiyo ambayo imekuwa si rafiki kwao.
Kufuatia kuandika barua hiyo ya kuomba kujiondoa, Yanga wanakuwa wameikwepa Simba kwenye mashindano ambapo walikuwa wamepangwa pamoja na mabingwa hao wa Ligi Kuu Vodacom.
Simba na Yanga zimepangwa pamoja kwenye kundi C ambapo kuna timu zingine ambazo ni Dakadaha ya Somalia pamoja na St. George kutoka Ethiopia.
Chanzo: Salehe Jembe
Musonye bila Yanga anajua hawapati pesa ya maana. Piga ua, anawataka Yanga Cecafa wapate hela ajilipe malimbikizo ya mshahara.Wawafungie tu mashindano yenyewe hayana tofauti na bonanza
Rahisi namna hiyo Siku nne za mapumziko?Yanga wakijitoa basi ntawadharau,hao Goro Mahia watakaocheza nao,wao hawashiriki Haya mashindano?.Michuano inaisha tare 13,yanga wanacheza tare 17 na goro mahia siku nne za mapumziko wanazo kama wakiingia fainali.
Suala wanalolikwepa yanga nikukutana na Simba,kwa sababu wanahofu wakifungwa hali ya hewa itachafuka.Nachowashauri CECAFA wawafungie yanga kushiriki mashindano haya kwa muda miaka 2 au 3,kama watakuwa wamejitoa ili mwakani wapate muda mzuri wakupumzika maana hawatokuwa kwenye mashindano yoyote ya kimataifa.
Siku tano baada ya mashindano kumalizika, Gor Mahia itacheza na Yanga katika confederation cup. Gor hawajajitoa CECAFA (hadi sasa)Cecafa itaisha tarehe 13. Siku tano baadaye Yanga ina mechi dhidi ya Gor Mahia.
Tanzania itawakilishwa na Azam na Simba. Kama vipi wamwingize Singida United ...
Cecafa haina calender, wanadanga tu. Karne hii lazima wawe na calender. FIFA yenyewe haitaki mashindamo mbuzi mwaka wa World Cup.
Yanga imefanya uamuzi wa busara.
Mkuu, kila timu na mipango/priorities zake. Gor wakileta timu ya vijana nani atawauliza ?Siku tano baada ya mashindano kumalizika, Gor Mahia itacheza na Yanga katika confederation cup. Gor hawajajitoa CECAFA (hadi sasa)