Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Gentamasimavi chaliiii.Asante studio
Ziwasaidieni kuwalipa akina Djuma Shabaan, Joyce Lomalisa na Yanick Bangala bila kumsahau na yule Kocha wenu Luc Eymael ( Raia wa Belgium ) aliyewatukaneni ( ipo YouTube ) kuwa wana Yanga SC wote ni Mbwa, Sokwe na Nyani ambao Wanawadai hadi FIFA wamechoka na Kesi zenu za Kudaiwa?Yanga yalamba bonasi ya milioni 405, kutoka Sportpesa, kwa kumaliza mabingwa wa Ngao ya jamii, Ligi Kuu ya NBC, kombe la Shirikisho bara na kufikia hatua ya kucheza Fainali ya Kombe la Shirikisho la Shirikisho la soka barani Afrika CAF.
Ziwasaidieni kuwalipa akina Djuma Shabaan, Joyce Lomalisa na Yanick Bangala bila kumsahau na yule Kocha wenu Luc Eymael ( Raia wa Belgium ) aliyewatukaneni ( ipo YouTube ) kuwa wana Yanga SC wote ni Mbwa, Sokwe na Nyani ambao Wanawadai hadi FIFA wamechoka na Kesi zenu za Kudaiwa?
Rage ajengewe sanamu lake Msimbazi pale kwa mbumbumbu.Ziwasaidieni kuwalipa akina Djuma Shabaan, Joyce Lomalisa na Yanick Bangala bila kumsahau na yule Kocha wenu Luc Eymael ( Raia wa Belgium ) aliyewatukaneni ( ipo YouTube ) kuwa wana Yanga SC wote ni Mbwa, Sokwe na Nyani ambao Wanawadai hadi FIFA wamechoka na Kesi zenu za Kudaiwa?
Ndio miongonii mwa matumizi yake sio kupiga magoti mara zote kwa tapeli wa heshima lialia.fedha ya udhamini sio ufadhili.Yanga imetoka kwenye kubembeleza mtu mfadhili ni udhamini win win pande zote,dunia invyoendesha sokaZiwasaidieni kuwalipa akina Djuma Shabaan, Joyce Lomalisa na Yanick Bangala bila kumsahau na yule Kocha wenu Luc Eymael ( Raia wa Belgium ) aliyewatukaneni ( ipo YouTube ) kuwa wana Yanga SC wote ni Mbwa, Sokwe na Nyani ambao Wanawadai hadi FIFA wamechoka na Kesi zenu za Kudaiwa?