Yanga Yalipa kisasi cha 2016 Kwa Mazembe

Nataka toka hatua ya awali hadi kuingia makundi.
 
Nataka toka hatua ya awali hadi kuingia makundi.


2016 CAF Confederation Cup



Play-off Round


>

Young Africans SC 2 : 1 GD Sagrada Esperança

2016-05-07Young Africans SC 2 : 0 GD Sagrada Esperança

2016-05-18GD Sagrada Esperança 1 : 0 Young Africans SC

Natumaini utakuwa umeridhika mrembo!!!!!!!!! Au bado?????????
 
Tunawapongeza Yanga,iwe wamecheza na Team mbovu au nzuri.

Africa mchawi wa mtu ni mtu.
Huyu huyu mbovu huwa anakutoboa kila mkikutana naye. Drawa huwa mnashangilia
 
Mwanga anaekuroga unaishi nae nyumba moja na story kila siku unapiga nae Ila Giza likiingia anakuwangia,
Mkuu watu wameanza kuangalia mipira juzi.
Miaka nenda rudi tulikuwa tunafungwa na team za ajabu ajabu.

Wachana na hayo Kenya hapo wakienda Olympic wanabeba medani za dhahabu za mbio ndefu,imekuwa inafahamika hivyo daima.

Njoo Tanzania tunajikongoja huku na kule..sasa sikiliza Watanzania wenyewe.

Hatuelewiki tupewe nini?
Ndio maana watu wanakula tu pesa na hakuna la kuwafanya.

Ilitakiwa zifike hata team nne ziwe mtu akija hapo Mkapa anapigwa,tukienda kwao mtu anapigwa.
Hizo ni ajira na zitasaidia vijana kimaendeleo.

Ona Ronaldo kule anakula Mshahara ambao hapa Tanzania kusanya wastaafu Million watafikia mapato yale.

Nchini kwao kuna Team pia zinaeleweka na zina sajili vijana.

Njoo huku sisi tuliozaliwa na roho pana ,uzandiki,chuki.

Yanga na Simba walipofikia wapongezwe.CAF na Shirikisho hakuna wabovu huko,wabovu ni walioshindwa hizo mbio kuingia tola Awali.
 
Huyu huyu mbovu huwa anakutoboa kila mkikutana naye. Drawa huwa mnashangilia
Binafsi akili za Mtanzania itoshe kusema hazieleweki.

Mazembe angempiga Yanga ..watu pia bado wangesemea.

Hakuna hatua tutapiga tukiendelea kuwa na roho mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…