OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hiyo ndio yanga brotherYanga ipo uwanjani leo uwanja wa Kambarage
Ajabu ni kwamba kipa wake Kindoki ataanza leo huku akiwa kafiwa na mzazi wake juzi
Nisaidieni kushangaa wanaJF
Kisaikolojia yupoje,msiwe hivyo YangaKucheza au kutokucheza hakuwezi kumrudishaa mzee kindoki duniani...
Apumzike kwa amani shughuli yake hapa duniani ishaisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Daima mbele nyuma mwikooKisaikolojia yupoje,msiwe hivyo Yanga
Kumbe najibizana na oya oyaDaima mbele nyuma mwikoo
Mungu ibariki yanga,Mungu ibariki vita club
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga ipo uwanjani leo uwanja wa Kambarage
Ajabu ni kwamba kipa wake Kindoki ataanza leo huku akiwa kafiwa na mzazi wake juzi
Nisaidieni kushangaa wanaJF
MZEE Kindoki Nkinzi ambaye ni baba wa kipa wa Yanga, Mkongomani, Klaus Kindoki amefariki dunia huko nyumbani kwao DR Congo huku yeye akikacha mazishi kwa ajili ya kuipambania timu yake inayojiandaa kujitupa uwanjani leo.
Yanga inatarajiwa kujitupa kwenye Uwanja wa Kambarage huko mkoani Shinyanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Stand United unaotarajiwa kuwa mgumu.
Yanga haijali kabisa matatizo ya wachezaji
Yanga ipo uwanjani leo uwanja wa Kambarage
Ajabu ni kwamba kipa wake Kindoki ataanza leo huku akiwa kafiwa na mzazi wake juzi
Nisaidieni kushangaa wanaJF
MZEE Kindoki Nkinzi ambaye ni baba wa kipa wa Yanga, Mkongomani, Klaus Kindoki amefariki dunia huko nyumbani kwao DR Congo huku yeye akikacha mazishi kwa ajili ya kuipambania timu yake inayojiandaa kujitupa uwanjani leo.
Yanga inatarajiwa kujitupa kwenye Uwanja wa Kambarage huko mkoani Shinyanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Stand United unaotarajiwa kuwa mgumu.
Yanga haijali kabisa matatizo ya wachezaji
Mkuu kwani wasipo mchezesha baba ake atafufuka?Yanga ipo uwanjani leo uwanja wa Kambarage
Ajabu ni kwamba kipa wake Kindoki ataanza leo huku akiwa kafiwa na mzazi wake juzi
Nisaidieni kushangaa wanaJF
MZEE Kindoki Nkinzi ambaye ni baba wa kipa wa Yanga, Mkongomani, Klaus Kindoki amefariki dunia huko nyumbani kwao DR Congo huku yeye akikacha mazishi kwa ajili ya kuipambania timu yake inayojiandaa kujitupa uwanjani leo.
Yanga inatarajiwa kujitupa kwenye Uwanja wa Kambarage huko mkoani Shinyanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Stand United unaotarajiwa kuwa mgumu.
Yanga haijali kabisa matatizo ya wachezaji
Ronaldihno gaucho alicheza pia ikiwa kafiwa na baaba yake na akafunga goliSikumbuki ni mchezaji gani pale iraq alicheza kafwa na mwanae alipomaliza mechi ndo akawaambia wenzake
Sent using Jamii Forums mobile app
Chura mbona unateseka?Daima mbele nyuma mwikoo
Mungu ibariki yanga,Mungu ibariki vita club
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo mnapigwa na kindoki ndio atachomeshaa, mtajilaumu kumchezesha
we umetumwa?Yanga ipo uwanjani leo uwanja wa Kambarage
Ajabu ni kwamba kipa wake Kindoki ataanza leo huku akiwa kafiwa na mzazi wake juzi
Nisaidieni kushangaa wanaJF
MZEE Kindoki Nkinzi ambaye ni baba wa kipa wa Yanga, Mkongomani, Klaus Kindoki amefariki dunia huko nyumbani kwao DR Congo huku yeye akikacha mazishi kwa ajili ya kuipambania timu yake inayojiandaa kujitupa uwanjani leo.
Yanga inatarajiwa kujitupa kwenye Uwanja wa Kambarage huko mkoani Shinyanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Stand United unaotarajiwa kuwa mgumu.
Yanga haijali kabisa matatizo ya wachezaji