Yanga yamkataa mwamuzi Ahmed Arajiga kuchezesha fainali Kombe la Shirikisho Julai 25, 2021

Yanga yamkataa mwamuzi Ahmed Arajiga kuchezesha fainali Kombe la Shirikisho Julai 25, 2021

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20210722_153002132532.jpg
 
Achana na masuala ya Yanga wakati wewe ni Simba na Chadema Damu. Hivi una habari kuwa Mbowe yupo lupango, muulize Erythrocyte maana yupo anapika kumpelekea uji. Ila mkumbuke mtu akihudhuria msiba wa aliyekufa kwa COVID-19 lazima aji lockdow.

Je Mbowe wenu anaisambaza mwanza baada ya kuhudhuria maziko ya kaka yake aliyekufa kwa Corona kutokana na makijidai yake? Jibu analo brazaj
 
Achana na masuala ya Yanga wakati wewe ni Simba na Chadema Damu. Hivi una habari kuwa Mbowe yupo lupango, muulize Erythrocyte maana yupo anapika kumpelekea uji. Ila mkumbuke mtu akihudhuria msiba wa aliyekufa kwa COVID-19 lazima aji lockdow. Je Mbowe wenu anaisambaza mwanza baada ya kuhudhuria maziko ya kaka yake aliyekufa kwa Corona kutokana na makijidai yake? Jibu analo brazaj
Wewe huna akili na huna hadhi ya kujadili kitu na mimi. Tafuta wajinga wenzio mjipikilishe
 
Washaanza uswahili wao. Au kakataa muamala wao!! Wanataka marefa wa kwenye pay roll yao.
 
Back
Top Bottom