Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnatafuta mbeleko? Pambaneni uwanjani.Je,akiteuliwa mwingine na wenzenu wakamkataa itakuwaje?
Kwani sheria inasemaje
kipindi hiki wakiingia tu, tunafunga geti hakuna kutoka mtu mpaka dakika 90Yaani utopolo wapo kienyeji mnoo,yaani wanawapangia hadi tff refa wa kuchezesha mechi yao,kwa hiyo asipobadilishwa hawataingiza timu uwanjani?
Hii mijamaa inatia aibu kweli soka letu,yaani kika siku ni mijitu ya hila na malalamiko tu
Minunda mingi mule....Yaani utopolo wapo kienyeji mnoo,yaani wanawapangia hadi tff refa wa kuchezesha mechi yao,kwa hiyo asipobadilishwa hawataingiza timu uwanjani?
Hii mijamaa inatia aibu kweli soka letu,yaani kika siku ni mijitu ya hila na malalamiko tu
Kwani mshitakiwa hapa ni nani tuanzie hapo.Si shabiki wa mipira yenu ya kitanzania lakini kimantiki inatia shaka mwamuzi mmoja kuchezesha mechi 4 consecutively. Hata wewe liangalie hilo halafu njoo na uchambuzi usioegemea upande wowote tuone. Hata mahakamani hili haliwezi kutokea kesi NNE zinazomhusu mshtakiwa mmoja kupewa hakimu mmoja.
Kuna sheria inayokataza kwaniKwani Tanzania refa ni huyo tu?yaani kuanzia robo hadi fainal kwa timu moja?acheni huu upumbavu
Sasa we hujui kua huyo mwamba ana kadi ya uanachama pale mikia fc.?sasa kama kila timu itachagua refa wake hio ni soka au rede
Niambie mzee wa laki 7?Yanga akili za mashabiki na viongozi wanafanana.
Mnamtaka yule wa Kona goliWe mkia huoni aibu yaani mwamuzi mmoja awachezeshe kuanzia robo hadi fainal?mikia wanaojitambua hili hawawezi kusapport
Yanga wana hoja ya msingi, ingawa haters mtapinga na kukejeli. Hata kama huyo mwamuzi ana ubora gani, ilitakiwa TFF waangalie mwamuzi tofauti kabisa, na ambaye hakuchezesha mechi za karibuni za timu hizo mbili!
washauri wasiingize timuYanga wana hoja ya msingi, ingawa haters mtapinga na kukejeli. Hata kama huyo mwamuzi ana ubora gani, ilitakiwa TFF waangalie mwamuzi tofauti kabisa, na ambaye hakuchezesha mechi za karibuni za timu hizo mbili!
Na kama hakuna waamuzi wengine wenye sifa, isipokuwa huyo Arajiga! basi hii ni aibu nyingine kwa shirikisho la mpira wa miguu nchini.
Ila yanga mnapenda kuwalalamikia tff sana. Mnalalamika sana alafu uwezo mdogoYanga wana hoja ya msingi, ingawa haters mtapinga na kukejeli. Hata kama huyo mwamuzi ana ubora gani, ilitakiwa TFF waangalie mwamuzi tofauti kabisa, na ambaye hakuchezesha mechi za karibuni za timu hizo mbili!
Na kama hakuna waamuzi wengine wenye sifa, isipokuwa huyo Arajiga! basi hii ni aibu nyingine kwa shirikisho la mpira wa miguu nchini.