Angalia heading yako kama ni kweli umeandika tetesi...。Inawezekana ikawa uongo ndio mkuu ndomana nimesema TETESI
Mmemsajili ngushi kisa lile bao la tiktaka sioMosses Phiri
Crispin Ngushi
Denis Nkane
Naomba kuhifadhi maneno yangu, Nisije nikamkufuru Mungu
Kolo mbona unawashwa sana?Kabisa anastahili tuzo,siyo kwa uvumilivu wa misimu minne mtawalia bila kombe na sasa unakwenda msimu wa tano.
Kwani chikwende mlimchukua wa kazi gani ilihali mlijua hatocheza CAF?Angalia heading yako kama ni kweli umeandika tetesi...。
Phili hawezi kuja yanga aache kucheza michuano ya kimataifa na zanaco na hili limeshatolewa ufafanuzi,
Simba wameshindwa kumsajili huyu sababu ana usajili wa caf ktk michuano ya kimataifa na wao wanahitaji mchezaji atayewasaidia kule kimataifa endapo wakimchukua huyu basi atacheza michuano ya ndani tu kama ilivyokuwa kwa chikwende,sasa wa kazi gani,ndio maana wanasaka kwengine.....
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Mchezaji ana contribution ya Goal 4 na huku anaupiga mwingi sanaMmemsajili ngushi kisa lile bao la tiktaka sio
Nikiangalia yanga ile ya kina sarpong na sibomana dah nacheka sanaHeee pole sana. Umevumilia mno. Lakini ndio mpira ulivo.
Leo si unawaona man u,hawakuwahi kudhani watakuja kupitia haya.
Ila Simba wana raha bana.
Lisemwalo lipo mkuuMwamba yupi kaenda kwa yeboyebo?
Hapana bado broInajulikana kuwa Simba walivutiwa sana na huduma ya huyu mchezaji mzambia kutoka katika club ya Zanaco, katika kipindi cha dirisha kubwa ila ikashindikana kutokana na idadi ya wachezaji kutimia
Wakajipanga kurudi tena katika dirisha hili dogo ila bahati mbaya Zanaco imefuzu hatua ya makundi shirikisho hivo kufuta matumaini ya Simba kumnunua phiri maana endapo kama watamnunua itabidi asitumike katika mashindano ya Shirikisho kama Sheria inavosema, Simba inataka kununua wachezaji wa kigeni Kwa ajili ya kuongeza nguvu Katika shirikisho
Inadaiwa kuwa Yanga ishamalizana na striker na kilichobaki ni kumalizana na uongozi wa club ya Zanaco na wamefkia hatua nzuri Kwa hiyo ni Jambo la muda tu Kwa Yanga kukamilisha usijili wa Mosses phiri
Kwa Yanga kumpata mchezaji huyu sio siri kwangu Mimi sasa rasmi nawaweka katika mbio za ubingwa maana wanaonekana wako serious na wamedhamiria Kweli msimu huu, jamaa ni fundi haswa ambae anaweza kucheza kama namba 9,10 lakini pia winger, Kwa ile striking force yao na kumuongeza huyu mwamba hapo sasa wamekamilika haswaaa
Hongera zao UtopoloLisemwalo lipo mkuu
TusidharauView attachment 2069386
Mkuu hiyo thread itakuwa moderator amei edit, me nimeandika tangu Jana kuwa ni TETESI, na ndomana ata ukisoma content hakuna sehemu me nimethibitisha kuwa Yanga wamemsajili mosses phiri, ila kuamkia leo ndio nakuta neno TETESI halipo TenaAngalia heading yako kama ni kweli umeandika tetesi...。
Phili hawezi kuja yanga aache kucheza michuano ya kimataifa na zanaco na hili limeshatolewa ufafanuzi,
Simba wameshindwa kumsajili huyu sababu ana usajili wa caf ktk michuano ya kimataifa na wao wanahitaji mchezaji atayewasaidia kule kimataifa endapo wakimchukua huyu basi atacheza michuano ya ndani tu kama ilivyokuwa kwa chikwende,sasa wa kazi gani,ndio maana wanasaka kwengine.....
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Pesa ipo wwKwani chikwende mlimchukua wa kazi gani ilihali mlijua hatocheza CAF?
Semeni ukweli hakuna pesa ya kuvunja mkataba.
Usajili wa kukomoana kwan ww huwajui hawa kulwa na doto?Kama ni kweli huo ni usajili usiokuwa na tija,coz YANGA haina shida sana kwenye eneo hilo...Halafu Phiri anazidiwa sana na MAYELE na SAIDO
Shiboub aliondoka Simba ikiwa bingwa, ameshangaa hadi anarudi kaambiwa Simba bado bingwaKolo mbona unawashwa sana?
Anyway shibobo si yupo? Atawapa kombe na Bob Marley.
Shiboub aliondoka Simba ikiwa bingwa, ameshangaa hadi anarudi kaambiwa Simba bado bingwa
Bado Wasafi wamethibitisha? NyieeeNimeona mahali kama vile Wasafi TV wamethibitisha usiku huu?
tuliambiwa amesajiliwa na uto