Twamo
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 2,884
- 5,016
Mwache Boban acheze mbona 'wazee' wakitoka nje ya nchi mnawasajili! Kina Kagere, Wawa na huyu Tambwe wetu kwani ni makinda?Age mate wa Boban wote wametundika daluga amri kiemba, Musa mgosi, Ben mwalala,Victor Costa nyumba yaani kabaki kaseja tu Tena kwasababu ni golikipa