Yanga yamtimua Kocha

Yanga yamtimua Kocha

Wana haki ya kufanya hivi maana kwa mpira wao wangebugia migori na Simba hawa mpk wangejuta.
 
Yanga inaendeshwa kwa mihemuko sana kushinda mademu wa vyuo.

Unamfukuzaje kocha ambaye hajafungwa hata game moja kwenye ligi, na ametoa droo moja tuu na kushinda zote akiwa ameconcede goli chache sana ilihali kikosi chote amesajiliwa na uongozi bila kushirikishwa hata kidogo !

Wachezaji waliosajiliwa yanga sio wa kucheza mpira pasi , wengi wakutumia maguvu, inakuwaje mtegemee kina Mwanyeto na kina Tusila wacheze kama Tripple C na Bwalya!


Engineer Hersi apewe timu aifundishe tuone kama ni kazi rahisi , kutaniwa tuu na kina Manara Mnacheza mpira Magimbi mnabadili Kocha mnasahau kuwa hamna wachezaji wengi wanaoweza kicheza mpira Biriani ..

Yanga wanatia huruma sana! Manara anawatoa sana mchezoni
 
Gsm katumia pesa nyingi kununua wachezaji na bado anatumia pesa kulipa marefa na timu pinzani apate ushindi, kachungulia mechi na Simba kaona hata akihonga kipigo hakikwepeki kaamua kujitoa ufahamu na kufukuza kocha
 
Pierre Liquid ( Zlatko ) tangia lini akawa Kocha? Nimepongeza 'Watani' Kumfukuza japo nadhani lawama Kubwa ziende kwa wale waliomleta nchini.
Duh.. we jamaa unaudhi sana. Lakini acha wapambane wameyataka wenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Gsm katumia pesa nyingi kununua wachezaji na bado anatumia pesa kulipa marefa na timu pinzani apate ushindi, kachungulia mechi na Simba kaona hata akihonga kipigo hakikwepeki kaamua kujitoa ufahamu na kufukuza kocha
Sasa hapo ni anajaribu kuzima moto kwa kumwagia Petrol. Kocha atakaerithi mikoba atakua hajaizoea timu hiyo 10-Oct, yaan kama nawaona vile watakavyobugia magoli.
 
Hawa GSM wanatuharibia sana timu yetu ya Yanga.
Kwanza wanajinufaisha sana kupitia time yetu.
Yaani wanasajiri wachezaji kwa ghalama ya 1b.
Mauzo ya jezi ni 10b.
Faida hata ikipungua sana haishuki zaidi ya 7b.
Na zote wanajinufaisha wao.
Waondoke watuachie timu yetu.
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
 
Gsm katumia pesa nyingi kununua wachezaji na bado anatumia pesa kulipa marefa na timu pinzani apate ushindi, kachungulia mechi na Simba kaona hata akihonga kipigo hakikwepeki kaamua kujitoa ufahamu na kufukuza kocha
Rage ni nabii wa soka aisee
 
Back
Top Bottom