Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiona mtu account yake ipo verified halafu anaandika mataputapu, napata jibu kuwa wewe ni mtoto wa mama.Imekuingia ichomoe polepole kolo bin mbumbumbu
tena wa tatu kuwazidi hadi EsperanceHivyo mkiambiwa kuwa siye ni watatu kwa Afrika msiwe mnabisha
Uko sahihiTungekuwa na Akili tungeungana kama Jamii Forum Kushangaza kwanini hadi leo.
SIMBA NA YANGA HAWANA UWANJA WANAENDA KUTUMIA UWANJA WA AZAM COMPLEX.
TIMU ILIOANZISHWA 2009
ILA KWASABABU J TUNA
MAZUZU.
MAPUMBAFU na
MAJINGA sishangai
Wajitoe hata out ila ukweli haujifichiSema wanajitoa ufahamu
Safi sana.Ukifuatilia ukurasa wa CAF kule mtandao wa X Kwa siku ya Jana tu timu ya Yanga ndo ilioongoza kwa engagements.
Ukiangalia kadi zote zilizopostiwa za kuvipongeza vilabu vilivyofuzu kuingia makundi ya CAF CL hakuna iliyoongoza kama uya Wananchi
Hivyo mkiambiwa kuwa siye ni watatu kwa Afrika msiwe mnabisha
Nasindikizia na kapicha kadogoView attachment 2768285View attachment 2768291View attachment 2768292