Nimeweka na ushahidi inabidi mkubwa ajulikane hapa kwenye jukwaa letu na mkubwa yanga ndio maana hadi Sasa ndio game bado inaongelewa zaidi huku ikionekana haijaisha tofauti na Yao ambayo inaonekana imeisha.Makolokolo watapinga wakidai umeedit, kweli uchawi na Makolokolo ni samaki na maji.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Gangi mbona unavuruga jina la kinyamwezi la jamaaClub ya Young Africa inaongoza kwa takwimu za kufatiliwa JamiiForums dhidi ya mshindani wake Simba.
Upendo, uchangiaji pamoja na jicho yanga inaonesha kuwa mbele sana dhidi ya Simba.
Ingawa hadi Sasa team inayoongoza ni Manchester united ya Uingereza lakini wachambuzi wa mambo wanasema forum ya Yanga iliyoanzishwa na Gangi Chomba inaweza kwenda mbali zaidi endapo tu itafanikiwa kuchukua kombe la CafCL kwa kuwaondoa Al Ahly ya Misri.
View attachment 2950569View attachment 2950578
Club above allClub ya Young Africa inaongoza kwa takwimu za kufatiliwa JamiiForums dhidi ya mshindani wake Simba.
Upendo, uchangiaji pamoja na jicho yanga inaonesha kuwa mbele sana dhidi ya Simba.
Ingawa hadi Sasa team inayoongoza ni Manchester united ya Uingereza lakini wachambuzi wa mambo wanasema forum ya Yanga iliyoanzishwa na Gangi Chomba inaweza kwenda mbali zaidi endapo tu itafanikiwa kuchukua kombe la CafCL kwa kuwaondoa Al Ahly ya Misri.
View attachment 2950569View attachment 2950578
AahaaaUtafiti: Mashabiki wa Yanga wanaongoza kwa wengi wao kuwa masikini kwa sababu ya kukosa shughuli rasmi za kujipatia kipato.
Ndio mana hata timu yao inaongoza kwa kuruhusu mashabiki wake kuingia Bure kwenye mechi zao na hata kugawa supu na chapati ili kuwanusuru na njaa pale jangwani.
Shabiki kama huyo huwa hana cha kujifariji zaidi ya kukopa bando na kusoma habari za Yanga masaa 24. Kwanini peji zao zisijae
Utafiti: Mashabiki wa Yanga wanaongoza kwa wengi wao kuwa masikini kwa sababu ya kukosa shughuli rasmi za kujipatia kipato.
Ndio mana hata timu yao inaongoza kwa kuruhusu mashabiki wake kuingia Bure kwenye mechi zao na hata kugawa supu na chapati ili kuwanusuru na njaa pale jangwani.
Shabiki kama huyo huwa hana cha kujifariji zaidi ya kukopa bando na kusoma habari za Yanga masaa 24.
Kwanini peji zao zisijae
Hahha uliwahi ku edit mwanzo umeandikia juu ya bodaboda ukaandika vitu vya ajabu ajabuUtafiti: Mashabiki wa Yanga wanaongoza kwa wengi wao kuwa masikini kwa sababu ya kukosa shughuli rasmi za kujipatia kipato.
Ndio mana hata timu yao inaongoza kwa kuruhusu mashabiki wake kuingia Bure kwenye mechi zao na hata kugawa supu na chapati ili kuwanusuru na njaa pale jangwani.
Shabiki kama huyo huwa hana cha kujifariji zaidi ya kukopa bando na kusoma habari za Yanga masaa 24. Kwanini peji zao zisijae
Rhulan ni mtoto kwa GamondiWe lead by example Rhulan hata hajui namna gani Gamond aliipanga team na afanye Nini this time ni final tunataka club bingwa ya dunia
ππππππππππππππππππ Wee jamaaa akili zako unazijua mwenyewe ahahhahaUko sahihi nimejisahau ila kabla ya yote kwanza nimshukuru Mh kwa kuleta kiasi Cha milioni 5 kwa Kila goli
Acha kuniita mkaza dadako mzuriTulia mtoto mzuri takwimu zinaongea kwanza mshukuru mama kwa uji na maziwa asubuhi