Nimeweka na ushahidi inabidi mkubwa ajulikane hapa kwenye jukwaa letu na mkubwa yanga ndio maana hadi Sasa ndio game bado inaongelewa zaidi huku ikionekana haijaisha tofauti na Yao ambayo inaonekana imeisha.
Utopolo wengi ni jobless na useless people,hata kwenye mabanda ya magazeti ukienda pale mengi yale ni matopolo huwa hayanaga kazi,yanazurura kama majibwa ya kiswahili tu,so sishangai hilo kuwa kweli.