Yanga yapanda viwango vya Afrika, yaingia 30 Bora

Huoni walivyovurunda vurunda hata kwenye,haya ya sasa,ilhali wenzao tumesererekea Kitonga🤸
Alaa kumbe kitonga ndiobkimeWafikisha hapo basi ni jambo la kheri napenda kupata details ili hata nikiwa kijiweni wakibishana nielewe nn kinaendelea
 
Alaa kumbe kitonga ndiobkimeWafikisha hapo basi ni jambo la kheri napenda kupata details ili hata nikiwa kijiweni wakibishana nielewe nn kinaendelea
Kitonga ya kuwaponda vibonde,akina Mazembe🤔
 
Yanga ataikiwa ndani ya Tano au tatu Bora Kwa vilabu barani Afrika Haina maana yoyote pasipo ubingwa.
Ubingwa katika mpira wa miguu ndio unao Tafsiri mafanikio izo namba au rank zinabadilika Kila mwaka.
Mfano Simba katika ligi ya NBC wanajivunia kushika nafasi ya pili ila ki uhalisia bila Mataji ni upuuzi tu.
 
huu ni uhuni. Yanga kampiga Mazembe nje ndani, bado mazembe kipgwa ovyo lakini bado mazembe yupo 13 yanga 31
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata mie nimeshangaa,
Eti zamalek kaipita simba, akat yeye Robo final hayupoo.
 
Utopolo wote ni wehu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mabwakuuuuuuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] iweke wee hiyo utopoloo nafasi ya 3 CAF Ranking. Mmevurugwaa vibayaaa.
 
Toka mafanikio ya Yanga yaonekana mashabiki WA Simba ndio wanaoongoza kupost wakilinganisha hayo mafanikio Na timu yao.Kitu Cha ajabu hawaweki source ya hizo Takwimu ZAo😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…