OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #61
Umejisikiaje lakini baada ya kukurupukaMO na Barbara...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejisikiaje lakini baada ya kukurupukaMO na Barbara...
Nimedondokea mgongoni kwako, naona hauna noma, una mgongo mzuri tuUmejisikiaje lakini baada ya kukurupuka
Kwa vile avatar yako ni ya kike bila shaka itakuwa imeloaNimedondokea mgongoni kwako, naona hauna noma, una mgongo mzuri tu
Endelea kujitikisa hivyohivyo, inarahisisha mpenyoKwa vile avatar yako ni ya kike bila shaka itakuwa imeloa
Hii ndo ya kweliCAF's TOP 5️⃣0️⃣ Ranked Clubs in Africa after the group stage of the 2022/23 CAF interclub competitions:
Based on the 5-year RANKING!
1. 🇪🇬 Al Ahly
2. 🇲🇦 Wydad Casablanca
3. 🇲🇦 Raja Casablanca
4. 🇹🇳 Espérance
5. 🇿🇦 Mamelodi Sundowns
6. 🇪🇬 Zamalek
7. 🇲🇦 RS Berkane
8. 🇩🇿 CR Belouizdad
9. 🇹🇿 Young Africans SC
10. 🇪🇬 Pyramids
11. 🇦🇴 Petro de Luanda
12. 🇩🇿 JS Kabylie
13. 🇨🇩 TP Mazembe
14. 🇬🇳 Horoya
15. 🇿🇦 Orlando Pirates
16. 🇸🇩 Al-Hilal
17. 🇹🇳 Etoile Sahel
18. 🇩🇿 ES Sétif
19. 🇨🇲 Coton Sport
20. 🇨🇮 ASEC Mimosas
21. 🇿🇦 Kaizer Chiefs
22. 🇨🇩 AS Vita
23. 🇹🇳 CS Sfaxien
24. 🇩🇿 USM Alger
25. 🇸🇩 Al-Merrikh
26. 🇱🇾 Ahli Tripoli
27. 🇪🇬 Al-Masry
28. 🇲🇦 AS FAR
28. 🇳🇬 Rivers United
28. 🇿🇦 Gallants
28. 🇹🇿 Simba SC
28. 🇹🇳 Monastir
33. 🇳🇬 Enyimba
34. 🇩🇿 MC Alger
35. 🇱🇾 Al-Ittihad
35. 🇿🇦 AmaZulu
37. 🇲🇦 Hassania Agadir
38. 🇩🇿 JS Saoura
39. 🇿🇲 Zanaco
40. 🇸🇳 ASC Jaraaf
41. 🇨🇬 Diables Noirs
41. 🇨🇩 Eloi Lupopo
41. 🇪🇬 Future
41. 🇲🇱 AS Real
41. 🇺🇬 Vipers
46. 🇿🇲 Nkana
47. 🇨🇩 DCMP
48. 🇨🇬 AS Otoho
49. 🇧🇼 Jwaneng Galaxy
49. 🇦🇴 Sagrada Esperança
51. 🇦🇴 1° de Agosto
59. 🇿🇲 Zesco
65. 🇰🇪 Gor Mahia
68. 🇹🇿 Namungo
75. 🇬🇭 Asante Kotoko
75. 🇪🇬 Ismaily
Wapeni kombe kumbe hawajafumgwa.Nasema wapeweView attachment 2575949View attachment 2575948
Siyo kuongoza kundi lao tu, bali wanaongoza michuano ya Confederetions na ndiyo pekee hawajapoteza hata mechi moja.
Sahihisho: Amebakia Sunday Manara tu kwa sasa."Nasikitika kuwataarifu ndugu zangu Watanzania kua wenye akili Uto bado ni wale wale wawili."
- Cvez
Mwaka huu itakuwa ndani ya tano Bora. TeheeCAF's TOP 5️⃣0️⃣ Ranked Clubs in Africa after the group stage of the 2022/23 CAF interclub competitions:
Based on the 5-year RANKING!
1. 🇪🇬 Al Ahly
2. 🇲🇦 Wydad Casablanca
3. 🇲🇦 Raja Casablanca
4. 🇹🇳 Espérance
5. 🇿🇦 Mamelodi Sundowns
6. 🇪🇬 Zamalek
7. 🇲🇦 RS Berkane
8. 🇩🇿 CR Belouizdad
9. 🇹🇿 Simba SC
10. 🇪🇬 Pyramids
11. 🇦🇴 Petro de Luanda
12. 🇩🇿 JS Kabylie
13. 🇨🇩 TP Mazembe
14. 🇬🇳 Horoya
15. 🇿🇦 Orlando Pirates
16. 🇸🇩 Al-Hilal
17. 🇹🇳 Etoile Sahel
18. 🇩🇿 ES Sétif
19. 🇨🇲 Coton Sport
20. 🇨🇮 ASEC Mimosas
21. 🇿🇦 Kaizer Chiefs
22. 🇨🇩 AS Vita
23. 🇹🇳 CS Sfaxien
24. 🇩🇿 USM Alger
25. 🇸🇩 Al-Merrikh
26. 🇱🇾 Ahli Tripoli
27. 🇪🇬 Al-Masry
28. 🇲🇦 AS FAR
28. 🇳🇬 Rivers United
28. 🇿🇦 Gallants
28. 🇹🇿 Young Africans
28. 🇹🇳 Monastir
33. 🇳🇬 Enyimba
34. 🇩🇿 MC Alger
35. 🇱🇾 Al-Ittihad
35. 🇿🇦 AmaZulu
37. 🇲🇦 Hassania Agadir
38. 🇩🇿 JS Saoura
39. 🇿🇲 Zanaco
40. 🇸🇳 ASC Jaraaf
41. 🇨🇬 Diables Noirs
41. 🇨🇩 Eloi Lupopo
41. 🇪🇬 Future
41. 🇲🇱 AS Real
41. 🇺🇬 Vipers
46. 🇿🇲 Nkana
47. 🇨🇩 DCMP
48. 🇨🇬 AS Otoho
49. 🇧🇼 Jwaneng Galaxy
49. 🇦🇴 Sagrada Esperança
51. 🇦🇴 1° de Agosto
59. 🇿🇲 Zesco
65. 🇰🇪 Gor Mahia
68. 🇹🇿 Namungo
75. 🇬🇭 Asante Kotoko
75. 🇪🇬 Ismaily
MBUMBUMBU UCHAWI ULIWASAIDIA SANAIna maana yanga mwaka huu ndo wameanza kuwa serious na soka?
Eti wanapongezwa kwa kushika nafasi ya 28 wakati Simba wapo top 10.
Azam hajawah kuingia hatua ya makundi kwenye mashindano ya CAFNaiona Namungo fc afu azam fc haipo hapo inakuwaje? [emoji848] [emoji848]
Tulipokuwa sio sawa na tulipo,maendeleo ni hatua,kwa kuwa ubora wa timu kwa afrika unapimwa kwa ushiriki wake ktk CAF competetions naiona yanga ikiwa top 15 within miaka 4 ijayo ,tuvute subra kwani muda hunena lakin kwa mafanikio ya mwaka huu yanga tusibezwe,na ni mwanzo mzur hasa for experience.Ina maana yanga mwaka huu ndo wameanza kuwa serious na soka?
Eti wanapongezwa kwa kushika nafasi ya 28 wakati Simba wapo top 10.
Wanapima kwa kuangalia matokeao ya miaka 5 nyuma na kila performance ya mwaka husika inamatter kwani ina points zakehuu ni uhuni. Yanga kampiga Mazembe nje ndani, bado mazembe kipgwa ovyo lakini bado mazembe yupo 13 yanga 31
🏃♂️🏃♂️🏃♂️ hapa sasa unatafuta kuandikiwa ara bii ! 😁Sahihisho: Amebakia Sunday Manara tu kwa sasa.
Taarifa inazungumzia ndani ya miaka mitanohuu ni uhuni. Yanga kampiga Mazembe nje ndani, bado mazembe kipgwa ovyo lakini bado mazembe yupo 13 yanga 31
CAF wahuni sana, wanatuhujumu. Tatizo makolo wana watu wao pale CAF, kila siku CAF wanawapost makolo kwenye page zaohuu ni uhuni. Yanga kampiga Mazembe nje ndani, bado mazembe kipgwa ovyo lakini bado mazembe yupo 13 yanga 31
Siyo mechi za caf ni mechi za caf confederation cup!! Yaani timu zilizoshindwa kuingia au kuendelea/losers kwenye michuano ya mabingwa!! Simba iliongoza kwenye group la michuano ya mabingwa mbele ya AL Ahly!!Imeongoza Kundi D katika mechi za CAF
Rage aliona mbali kuongoza kundi ni mafanikio,? Confederation sio mashindano ya CAF? tofauti yako na makalio ni ndogo sanaSiyo mechi za caf ni mechi za caf confederation cup!! Yaani timu zilizoshindwa kuingia au kuendelea/losers kwenye michuano ya mabingwa!! Simba iliongoza kwenye group la michuano ya mabingwa mbele ya AL Ahly!!