Yanga yapanda viwango vya Afrika, yaingia 30 Bora

Yanga yapanda viwango vya Afrika, yaingia 30 Bora

CAF's TOP 5️⃣0️⃣ Ranked Clubs in Africa after the group stage of the 2022/23 CAF interclub competitions:

Based on the 5-year RANKING!

1. 🇪🇬 Al Ahly
2. 🇲🇦 Wydad Casablanca
3. 🇲🇦 Raja Casablanca
4. 🇹🇳 Espérance
5. 🇿🇦 Mamelodi Sundowns
6. 🇪🇬 Zamalek
7. 🇲🇦 RS Berkane
8. 🇩🇿 CR Belouizdad
9. 🇹🇿 Young Africans SC
10. 🇪🇬 Pyramids
11. 🇦🇴 Petro de Luanda
12. 🇩🇿 JS Kabylie
13. 🇨🇩 TP Mazembe
14. 🇬🇳 Horoya
15. 🇿🇦 Orlando Pirates
16. 🇸🇩 Al-Hilal
17. 🇹🇳 Etoile Sahel
18. 🇩🇿 ES Sétif
19. 🇨🇲 Coton Sport
20. 🇨🇮 ASEC Mimosas
21. 🇿🇦 Kaizer Chiefs
22. 🇨🇩 AS Vita
23. 🇹🇳 CS Sfaxien
24. 🇩🇿 USM Alger
25. 🇸🇩 Al-Merrikh
26. 🇱🇾 Ahli Tripoli
27. 🇪🇬 Al-Masry
28. 🇲🇦 AS FAR
28. 🇳🇬 Rivers United
28. 🇿🇦 Gallants
28. 🇹🇿 Simba SC
28. 🇹🇳 Monastir
33. 🇳🇬 Enyimba
34. 🇩🇿 MC Alger
35. 🇱🇾 Al-Ittihad
35. 🇿🇦 AmaZulu
37. 🇲🇦 Hassania Agadir
38. 🇩🇿 JS Saoura
39. 🇿🇲 Zanaco
40. 🇸🇳 ASC Jaraaf
41. 🇨🇬 Diables Noirs
41. 🇨🇩 Eloi Lupopo
41. 🇪🇬 Future
41. 🇲🇱 AS Real
41. 🇺🇬 Vipers
46. 🇿🇲 Nkana
47. 🇨🇩 DCMP
48. 🇨🇬 AS Otoho
49. 🇧🇼 Jwaneng Galaxy
49. 🇦🇴 Sagrada Esperança
51. 🇦🇴 1° de Agosto
59. 🇿🇲 Zesco
65. 🇰🇪 Gor Mahia
68. 🇹🇿 Namungo
75. 🇬🇭 Asante Kotoko
75. 🇪🇬 Ismaily
Hii ndo ya kweli
 
Afadhali na hongereni.Ila tisa kwa ishirini na nane ni mbali sana.Japo wachambuzi wa kibongo wamawapaisha sana kwenye mike.
 
CAF's TOP 5️⃣0️⃣ Ranked Clubs in Africa after the group stage of the 2022/23 CAF interclub competitions:

Based on the 5-year RANKING!

1. 🇪🇬 Al Ahly
2. 🇲🇦 Wydad Casablanca
3. 🇲🇦 Raja Casablanca
4. 🇹🇳 Espérance
5. 🇿🇦 Mamelodi Sundowns
6. 🇪🇬 Zamalek
7. 🇲🇦 RS Berkane
8. 🇩🇿 CR Belouizdad
9. 🇹🇿 Simba SC
10. 🇪🇬 Pyramids
11. 🇦🇴 Petro de Luanda
12. 🇩🇿 JS Kabylie
13. 🇨🇩 TP Mazembe
14. 🇬🇳 Horoya
15. 🇿🇦 Orlando Pirates
16. 🇸🇩 Al-Hilal
17. 🇹🇳 Etoile Sahel
18. 🇩🇿 ES Sétif
19. 🇨🇲 Coton Sport
20. 🇨🇮 ASEC Mimosas
21. 🇿🇦 Kaizer Chiefs
22. 🇨🇩 AS Vita
23. 🇹🇳 CS Sfaxien
24. 🇩🇿 USM Alger
25. 🇸🇩 Al-Merrikh
26. 🇱🇾 Ahli Tripoli
27. 🇪🇬 Al-Masry
28. 🇲🇦 AS FAR
28. 🇳🇬 Rivers United
28. 🇿🇦 Gallants
28. 🇹🇿 Young Africans
28. 🇹🇳 Monastir
33. 🇳🇬 Enyimba
34. 🇩🇿 MC Alger
35. 🇱🇾 Al-Ittihad
35. 🇿🇦 AmaZulu
37. 🇲🇦 Hassania Agadir
38. 🇩🇿 JS Saoura
39. 🇿🇲 Zanaco
40. 🇸🇳 ASC Jaraaf
41. 🇨🇬 Diables Noirs
41. 🇨🇩 Eloi Lupopo
41. 🇪🇬 Future
41. 🇲🇱 AS Real
41. 🇺🇬 Vipers
46. 🇿🇲 Nkana
47. 🇨🇩 DCMP
48. 🇨🇬 AS Otoho
49. 🇧🇼 Jwaneng Galaxy
49. 🇦🇴 Sagrada Esperança
51. 🇦🇴 1° de Agosto
59. 🇿🇲 Zesco
65. 🇰🇪 Gor Mahia
68. 🇹🇿 Namungo
75. 🇬🇭 Asante Kotoko
75. 🇪🇬 Ismaily
Mwaka huu itakuwa ndani ya tano Bora. Tehee
 
Ina maana yanga mwaka huu ndo wameanza kuwa serious na soka?

Eti wanapongezwa kwa kushika nafasi ya 28 wakati Simba wapo top 10.
Tulipokuwa sio sawa na tulipo,maendeleo ni hatua,kwa kuwa ubora wa timu kwa afrika unapimwa kwa ushiriki wake ktk CAF competetions naiona yanga ikiwa top 15 within miaka 4 ijayo ,tuvute subra kwani muda hunena lakin kwa mafanikio ya mwaka huu yanga tusibezwe,na ni mwanzo mzur hasa for experience.
kuna muda tuache ushabiki tuongee facts
 
huu ni uhuni. Yanga kampiga Mazembe nje ndani, bado mazembe kipgwa ovyo lakini bado mazembe yupo 13 yanga 31
Wanapima kwa kuangalia matokeao ya miaka 5 nyuma na kila performance ya mwaka husika inamatter kwani ina points zake
 
huu ni uhuni. Yanga kampiga Mazembe nje ndani, bado mazembe kipgwa ovyo lakini bado mazembe yupo 13 yanga 31
CAF wahuni sana, wanatuhujumu. Tatizo makolo wana watu wao pale CAF, kila siku CAF wanawapost makolo kwenye page zao
 
Timu ni ya 30 halafu watu wanafurahia! Hii ni aibu!! Hakuna kitu kinachoitwa 30 bora!! Mwisho ni kumi bora full stop!! Ndani ya 10 bora kuna Simba!! "wananchi" jiulizeni mnakwama wapi??
 
Imeongoza Kundi D katika mechi za CAF
Siyo mechi za caf ni mechi za caf confederation cup!! Yaani timu zilizoshindwa kuingia au kuendelea/losers kwenye michuano ya mabingwa!! Simba iliongoza kwenye group la michuano ya mabingwa mbele ya AL Ahly!!
 
Sasa hivi pamoja Na Simba kuangukia pua kwa Kila mashindano ,wachambuzi njaa lazima waje na Takwimu ZAo fake (bila reliable source) ili mradi TU waiweke Simba iwe juu ya Yanga!
 
Siyo mechi za caf ni mechi za caf confederation cup!! Yaani timu zilizoshindwa kuingia au kuendelea/losers kwenye michuano ya mabingwa!! Simba iliongoza kwenye group la michuano ya mabingwa mbele ya AL Ahly!!
Rage aliona mbali kuongoza kundi ni mafanikio,? Confederation sio mashindano ya CAF? tofauti yako na makalio ni ndogo sana
 
Back
Top Bottom