Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Rage ajengewe sanamu.Kila ukifatilia usajili wa wenzetu wa jangwani unaona wamesajili mabeki, mara Fred kutoka Uganda na sasa hivi beki kutoka Asec, hiyo ni kutokana na mawinga hatari waliopo Simba ss hv akiwemo Louis Micquisone, Kramo, Kibu Denis nk.
Kazi ipo msimu ujao
Pana kaukweli kdgo ,, namnaongeza namba 6,, huoni Pana ukweliHivi kweli umeamka asubuhi unaandika uzi kama huu.
Amka kamwage mkojo kwenye hilo kopo Kisha piga mswaki
Hata Luc Eymel pia
Kuna watu wachache Sana wanaosababisha ionekane Simba ina watu wa ovyo. Simba ina watu makini Sana Ila kuna Mbumbumbu wachache na wengine kama 3 hivi humu JF. Hata Yanga wapo nadhani 2 nao akili zao wanapotoka huwa wanaachia familia.
Duh umenifanya nione aibu Mimi.Pana kaukweli kdgo ,, namnaongeza namba 6,, huoni Pana ukweli
Tatizo mna madingi humu mnachukulia michezo kama ibada full kununa. Hatuwezi kwenda hivyo. Michezo ni furaha, tena kuna utani wa jadi. Mambo ya Simba na Yanga ukiyachukulia hivyo utaumiza kichwa bila sababu.Kuna watu wachache Sana wanaosababisha ionekane Simba ina watu wa ovyo. Simba ina watu makini Sana Ila kuna Mbumbumbu wachache na wengine kama 3 hivi humu JF. Hata Yanga wapo nadhani 2 nao akili zao wanapotoka huwa wanaachia familia.
Kweli, lengo la utani ni kufurahiTatizo mna madingi humu mnachukulia michezo kama ibada full kununa. Hatuwezi kwenda hivyo. Michezo ni furaha, tena kuna utani wa jadi. Mambo ya Simba na Yanga ukiyachukulia hivyo utaumiza kichwa bila sababu.
Okw mnakera wakati mwingine Bwana. Mtu unafungua Uzi ukidhani kuna cha maana unakuta mwenzio kaandika utopolo mtupu Hadi unajutia MB zako? Wewe binafsi unamwelewa Mtu anayeamini kuvaa No.6 lazima ucheze No.6 uwanjani?Tatizo mna madingi humu mnachukulia michezo kama ibada full kununa. Hatuwezi kwenda hivyo. Michezo ni furaha, tena kuna utani wa jadi. Mambo ya Simba na Yanga ukiyachukulia hivyo utaumiza kichwa bila sababu.
Naahidi kuchangia mifuko 20 ya saruji iwapo itahitajika.