Yanga yatoa msimamo mkali: Yadai pointi 3 kwa Simba, yakataa mechi ya marudio na kutaka Kamati ya Ligi Kuvunjwa!

Yanga yatoa msimamo mkali: Yadai pointi 3 kwa Simba, yakataa mechi ya marudio na kutaka Kamati ya Ligi Kuvunjwa!

UUnajua taratibu za kuhaihirisha mechi? Simba wamegomea mechi kabla ya TFF kutoa tamko!! Tafsiri nyepesi ni Bodi ya ligi ni DHAIFU haijui chakufanya!!.

zs

Huna Sababu ya kumuelewesha:

1. Simba wamekataa mechi.
2. Bodi uikasema mechi ipo.
3. Mchana wakabadili kwamba wanataka kupata maelezo zaidi Halafu wataamua, sasa hapo ndo wa kiona claim za simba ni baseless ndo shida
 
Nani mwenye mamlaka ya kubadili ratiba ya mchezo kikanuni?

Je anapaswa kujieleza kwa mtu sababu ya hayo mabadiliko ili apime kama yana mashiko au la?

BTW:Yanga wamewahi mno kuja na hili tamko,wangesubiri waone hatua gani zitachukuliwa kwa kilichotokea.

Huu utukutu utafanya waangushiwe wao adhabu katika harakati za kamati kujinasua!
 
"Hahaha, kususa kunahusiana vipi na kuhairishwa kwa mechi?" Hili swali unaniuliza mimi? Nilitegemea wewe ndiye utoe jibu la swali hili....... naona kama unajishagaa mwenyewe.
Aliyeahirisha mechi kasema ameahirisha sababu Simba amesusa? Mbona mzito sana? Embu soma barua hiyo kwanini mechi imehairishwa.
 
Nipe maelezo ya hiko kifungu, mliposusa mlipost vifungu vya TFF ,wapi walipo andika timu ikishindwa kufanya mazoezi isusie mechi. "Hilo neno sababu mbalimbali.......: ni sawa bodi na TFF kukubali kuwa madalali wenu.
We ni kiazi
 
Huna akili
Wenye akili wapo wanacheza na nishati huko kwenye space. Mtanganyika kama wewe unajua hata akili inavyofanana? Upo kijiweni mitandaoni unapiga lomoni ya soka.
 
Kama bodi ya ligi ilitoa taarifa ya kuahirisha mechi basi hakuna point 3 za mezani.
Hapa ndani Yanga ni kubwa kuliko TFF ila ukienda CAF na FIFA, TFF ni kubwa kuliko Yanga. Mara ngapa mnavimba hapa ndan lakin mkipelekwa CAS mnarudi vichwa chini.

Mwenye mamlaka ya Mpira ametoa mapema tamko kuwa mechi haipo, wewe unapeleka timu uwanjan hakuna waamuzi na hakuna taratibu zozote za mechi halafu unadai point 3.
 
Hizo 3pointi hazipo, Bodi ndiyo iliinyang`anya Yanga maksudi. Simba wanamakosa,na kwa mbali na si kwa umuhimu Yanga nao wanamakosa, ila Bodi imejitwika makosa ya Simba. Sasa msuluhishi akiwa ana makosa dhidi ya wasuluhishwa nini kitatokea? Hapo Bodi itatumia ukubwa wake kujibeba na kuibeba Simba maksudi. Mchezo utapangiwa siku nyingine na utachezwa Yanga atashinda na stori itakuwa,"mlisusa mkitafuta haki,haki mmeipata na kufungwa mmefungwa,si bora mngecheza tu hiyo march 8" nimemaliza.
 
Awamu hii tunashikilia hapo hapo. Hakuna kupelekeshwa na wahuni ktk mpira wetu.
Bodi ya ligi na TFF wamekula njama ili kuharibu uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu
 
Hizo 3pointi hazipo, Bodi ndiyo iliinyang`anya Yanga maksudi. Simba wanamakosa,na kwa mbali na si kwa umuhimu Yanga nao wanamakosa, ila Bodi imejitwika makosa ya Simba. Sasa msuluhishi akiwa ana makosa dhidi ya wasuluhishwa nini kitatokea? Hapo Bodi itatumia ukubwa wake kujibeba na kuibeba Simba maksudi. Mchezo utapangiwa siku nyingine na utachezwa Yanga atashinda na stori itakuwa,"mlisusa mkitafuta haki,haki mmeipata na kufungwa mmefungwa,si bora mngecheza tu hiyo march 8" nimemaliza.
Hahaha.
 
Nimependa hapo mwishoni ety
Mwisho, lakini sio kwa umuhimu

Kwamba wanasoka hamna umuhimu kuombwa radhi 😂
Sentensi hii watu wengi wanaitumia kwa kuiga au hawajui maana yake mkuu.

Yaani tukio la kuwaomba radhi mashabiki siyo la muhimu!!!
 
Kwa kutolaani kitendo cha makomandoo wa Yanga kuifanyia fujo Simba kikao hicho ni cha wahuni na tamko lao ni la kihuni lipuuzwe tu
 
Ukiulizwa Simba walisusia mechi ipi utasemaje? Au utakuja na barua ya Simba kwa uma? Ukija nayo utarudishwa kwenye kanuni na kupewa tafsiri ya Kususa mechi halafu hapo ndipo utakapoangukia pua.
Mkuu kwa hoja unazotoa kama kuna mtu atakuwa hajaelewa basi ana shida zake binafsi za low IQ.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mkuu kwa hoja unazotoa kama kuna mtu atakuwa hajaelewa basi ana shida zake binafsi za low IQ.
Mkuu unadhani hawaelewi? Mambo ya Soka huwa tunajitoa ufahamu tu.

Mechi ikirudiwa na wakacheza hoja zitakuwa za kuhalalisha maamuzi ya kucheza na Simba ikifungwa ndo itakuwa balaa zaidi.
 
Back
Top Bottom