Yanga yatoa msimamo mkali: Yadai pointi 3 kwa Simba, yakataa mechi ya marudio na kutaka Kamati ya Ligi Kuvunjwa!

Yanga yatoa msimamo mkali: Yadai pointi 3 kwa Simba, yakataa mechi ya marudio na kutaka Kamati ya Ligi Kuvunjwa!

Aliyeahirisha mechi kasema ameahirisha sababu Simba amesusa? Mbona mzito sana? Embu soma barua hiyo kwanini mechi imehairishwa.
Umesusa au haujasusa ? Husinge susa hiyo bodi ya ligi ingehairisha mchezo?
 
FARHAN JR: YANGA WAMEIKKAMATA PABAYA TFF.
.
Ukitulia vyema kabisa ukisoma kwa utuo ile taarifa ya Yanga, kwenye msimamo pale haswa msimamo namba tatu (3) wanasema:

“Kutokana na mfululizo wa uvunjifu na kushindwa kusimamia kanuni za Ligi Kuu, Klabu ya YANGA imekosa imani na Kamati ya Uendeshaji ya Ligi Kuu, chini ya Mwenyekiti wake Steven Mnguto na Katibu wa Kamati hiyo Almas Kasongo”

Kiufundi sana hapo hawana Imani hata na uchunguzi ambao utaenda kufanyika na majibu ya uchunguzi huo, kwa kifupi sana wamesukuma kete tatu za moto kuelekea TFF, hivyo majibu yoyote kutoka kwa Kamati hayatotambulika na Yanga Afrika, kifupi anayepaswa kuchunguza kaambiwa ajichunguze na kujitathmini kama anafaa kuwa Mchunguzi, ndicho kilichopo hapo.

Hapo hata ukiwaambia warudie mechi watagoma kwa kusema hawana imani na Bodi, kimsingi unawarudisha TFF mezani waone namna gani ya kutatua hili la Yanga, ukisema halipo kwenye kifungu na wao wataomba kifungu cha mechi kutochezwa, ndio akili waliyoipiga hapo.

Kesi ishakuwa ngumu hii, Shahidi anasindikizwa na escort ya Polisi na mitutu kila Kona, aliyepeleka chakula Kituoni nae kawekwa ndani na Mwanasheria anasema pesa ya kumlipa wakatumie kwa Mganga, ndio hii sasa[emoji3]
.
AMEANDIKA FARHAN JR.
1741444372707.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kupokea taarifa kutoka kwa wanausalama na Simba kutoa malalamiko na kutishia kutokucheza mchezo husika.
Leo Simba wametishia? Aliyesema hawatocheza mechi zote za ligi yule alikuwa Kidawa au kiongozi wa club yenu?
 
Nyie anzisheni tu vitadhidi ya tff na bodi ya ligi wakati huko nyuma mna makandokando mengi ambayo yalipotezewa au kuamuliwa kwa busara
 
Leo Simba wametishia? Aliyesema hawatocheza mechi zote za ligi yule alikuwa Kidawa au kiongozi wa club yenu?
Ukisema sitafanya jambo, umetishia kutolifanya. Kutokulifanya kwa vitendo umehitimisha tishio lako.

Mtu akikuambia atakutukana halafu ghafla akapata ububu asikutukane, unaweza mshtaki kwa kukutukana?
 
Yaleyale sasa mbona unajijibu mwenyewe kwenye paragraph yako ya kwanza. Kwani nyie mlitokea uwanjani au hamkutokea.
 
Ukisema sitafanya jambo, umetishia kutolifanya. Kutokulifanya kwa vitendo umehitimisha tishio lako.

Mtu akikuambia atakutukana halafu ghafla akapata ububu asikutukane, unaweza mshtaki kwa kukutukana?
Yaleyale sasa mbona unajijibu mwenyewe kwenye paragraph yako ya kwanza. Kwani nyie mlitokea uwanjani au hamkutokea.
 
Back
Top Bottom