Yanga yatumia mtego wa Manara tena, na wengi wamejaa

Yanga yatumia mtego wa Manara tena, na wengi wamejaa

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Yanga tumefungwa mara nne mfululizo na tulikuwa tunapata pressure kutoka Kwa media na mashabiki wengi
Sasa tumewapa mtego wa Manara amkane Eng Hersi na wengi wamejaa
Na Sasa uongozi una Fanya mabadiliko madogo bila s pressure

Mosi, Timu imehamia KMC complex ila wengi hawajali wapo busy na Manara😆
Next week tunamsajili coach mpya, baada ya Gamondi ku fail kimbinu na management ya timu Kwa ujumla ila wengi hawajali wapo busy na Manara

Nawatoa usingizini tena, Manara hawezi kuwa na uhasama na Eng Hersi aliyemstiri baada ya kufurushwa Simba na Babra na Mo

Yaani Manara awe na urafiki na GSM huku hawaongei pamoja na Hersi 😆

Week ijayo j3 tutaleta propaganda nyingine itakayofunika utambulisho wa coach, yaani tunaweza kusema Pacome max na mudathir wanahamia Simba, na makolo wakajaa tunafanya mambo yetu
 
Sasa propaganda Gani za kuumizana nyie kwa nyie?

Hakuna propaganda hapo ni reality. Utopolo united akili ndogo!
Hata wewe kuiongelea kama hivi, tayari umenasa kwenye mtego
 
manara ni anaependa malumbano mixer ugomvi wa kiswahili wa maneno.


kwa mwenendo wake atakuja kushindwa kuishi na watu kabsa
 
manara ni anaependa malumbano mixer ugomvi wa kiswahili wa maneno.


kwa mwenendo wake atakuja kushindwa kuishi na watu kabsa
Hapa tumemtumia kimkakati na jambo letu la kuhamia KMC complex limepita bila pressure
 
Yanga tumefungwa mara nne mfululizo na tulikuwa tunapata pressure kutoka Kwa media na mashabiki wengi
Sasa tumewapa mtego wa Manara amkane Eng Hersi na wengi wamejaa
Na Sasa uongozi una Fanya mabadiliko madogo bila s pressure

Mosi, Timu imehamia KMC complex ila wengi hawajali wapo busy na Manara😆
Next week tunamsajili coach mpya, baada ya Gamondi ku fail kimbinu na management ya timu Kwa ujumla ila wengi hawajali wapo busy na Manara

Nawatoa usingizini tena, Manara hawezi kuwa na uhasama na Eng Hersi aliyemstiri baada ya kufurushwa Simba na Babra na Mo

Yaani Manara awe na urafiki na GSM huku hawaongei pamoja na Hersi 😆

Week ijayo j3 tutaleta propaganda nyingine itakayofunika utambulisho wa coach, yaani tunaweza kusema Pacome max na mudathir wanahamia Simba, na makolo wakajaa tunafanya mambo yetu
Hii inarudishaje point sita alizopoteza Yanga?
 
Yanga kupigwa Chuma 3 na Tabora wamepoteana. Mashujaa wanawasubiri hata mkihama viwanja Bado Hali yenu no tete.
 
Yanga tumefungwa mara nne mfululizo na tulikuwa tunapata pressure kutoka Kwa media na mashabiki wengi
Sasa tumewapa mtego wa Manara amkane Eng Hersi na wengi wamejaa
Na Sasa uongozi una Fanya mabadiliko madogo bila s pressure

Mosi, Timu imehamia KMC complex ila wengi hawajali wapo busy na Manara😆
Next week tunamsajili coach mpya, baada ya Gamondi ku fail kimbinu na management ya timu Kwa ujumla ila wengi hawajali wapo busy na Manara

Nawatoa usingizini tena, Manara hawezi kuwa na uhasama na Eng Hersi aliyemstiri baada ya kufurushwa Simba na Babra na Mo

Yaani Manara awe na urafiki na GSM huku hawaongei pamoja na Hersi 😆

Week ijayo j3 tutaleta propaganda nyingine itakayofunika utambulisho wa coach, yaani tunaweza kusema Pacome max na mudathir wanahamia Simba, na makolo wakajaa tunafanya mambo yetu
Yanga tumefungwa mara nne mfululizo na tulikuwa tunapata pressure kutoka Kwa media na mashabiki wengi
Sasa tumewapa mtego wa Manara amkane Eng Hersi na wengi wamejaa
Na Sasa uongozi una Fanya mabadiliko madogo bila s pressure

Mosi, Timu imehamia KMC complex ila wengi hawajali wapo busy na Manara😆
Next week tunamsajili coach mpya, baada ya Gamondi ku fail kimbinu na management ya timu Kwa ujumla ila wengi hawajali wapo busy na Manara

Nawatoa usingizini tena, Manara hawezi kuwa na uhasama na Eng Hersi aliyemstiri baada ya kufurushwa Simba na Babra na Mo

Yaani Manara awe na urafiki na GSM huku hawaongei pamoja na Hersi 😆

Week ijayo j3 tutaleta propaganda nyingine itakayofunika utambulisho wa coach, yaani tunaweza kusema Pacome max na mudathir wanahamia Simba, na makolo wakajaa tunafanya mambo yetu
Hata kufungwa na Tabora baada ya Azam zilikua ni proper Ganda tu ili Manara aibuke.
Yanga tumefungwa mara nne mfululizo na tulikuwa tunapata pressure kutoka Kwa media na mashabiki wengi
Sasa tumewapa mtego wa Manara amkane Eng Hersi na wengi wamejaa
Na Sasa uongozi una Fanya mabadiliko madogo bila s pressure

Mosi, Timu imehamia KMC complex ila wengi hawajali wapo busy na Manara😆
Next week tunamsajili coach mpya, baada ya Gamondi ku fail kimbinu na management ya timu Kwa ujumla ila wengi hawajali wapo busy na Manara

Nawatoa usingizini tena, Manara hawezi kuwa na uhasama na Eng Hersi aliyemstiri baada ya kufurushwa Simba na Babra na Mo

Yaani Manara awe na urafiki na GSM huku hawaongei pamoja na Hersi 😆

Week ijayo j3 tutaleta propaganda nyingine itakayofunika utambulisho wa coach, yaani tunaweza kusema Pacome max na mudathir wanahamia Simba, na makolo wakajaa tunafanya mambo yetu
 
Manara hafai tuliwaambia ameshaahidi kutoa ya moyoni. Muhimu mvumilie Tu, jamaa ana nongwa hatari. Hata issue ya masindano inawezekana imeanzia kwake. Kazi kwenu😂
 
Mechi ijayo yanga inyukwe tena, akili zitawakaa sawa baada ya kupoteana
 
Manara hafai tuliwaambia ameshaahidi kutoa ya moyoni. Muhimu mvumilie Tu, jamaa ana nongwa hatari. Hata issue ya masindano inawezekana imeanzia kwake. Kazi kwenu😂
Manara anafaa sana
 
Back
Top Bottom