Hawana akili.Liver alimpiga man u 7 lakini sikuona bango
Nguruwe FcMabango bango fc
Liver wana wakati mlaini?Makolo wana wakati mgumu
Liver tayari ana Carabao mkononiLiver wana wakati mlaini?
Unapingana na ukweli?Timu ya Yanga imeweka bango kubwa maeneo ya Fire jijini Dar es Salaam linaloonesha matokeo ya jumla ya kipigo walichotoa kwa mnyama msimu huu.
Kwa mechi zote mbili za msimu huu klabu ya Yanga Afrika imeisulubu Simba jumla ya magoli 7-2 kama inavyoonekana kwenye bango hapo..
Vipi maoni yako? Je Yanga wako sahihi kuwafanyia Simba hivi? Au huu ni udhalilishaji?
View attachment 2971704
Huoni? Hata iguse basikapicha tafadhari
We ndio mshamba ndio maana mmefungwaUtoto na ushamba...ni akili za viongozi wa kizazi cha smartphone.
Barcelona akiwemo Messi ilifungwa na Bayern Munich magoli 8-2. Chelsea imefungwa na Arsenal 5-0.We ndio mshamba ndio maana mmefungwa
Kuna vijana wa smart phone walikuwa hawajazaliwaπHiyo inadhihirisha yanga kuifunga simba Goli nyingi kwao ni ajabu na ndoto, mwaka 2012 simba ilipoifunga yanga 5-0 kwenye VPL, sidhani kama simba waliweka bango au mbwembwe zozote zile
Mkuu 2012 ni miaka 12 tu iliyopita, Nina uhakika wengi waliozaliwa huo mwaka, bado hawajafikia balehe ππKuna vijana wa smart phone walikuwa hawajazaliwaπ
Ni kweli ila wanajitoa ufahamuπMkuu 2012 ni miaka 12 tu iliyopita, Nina uhakika wengi waliozaliwa huo mwaka, bado hawajafikia balehe ππ