Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My friend, umekuwa Mwananchi now days.Home 5 + Away 2 = aggregate 7
Bado Yanga wamelipwa kwa hilo Bango.Duh,kweli timu za bongo akili hazina
Yaani unatumia gharama kubwa za kipumbavu kuandaa mabango ya kipuuzi wakati Mzize inamlipa laki6
... eti Yanga huwa wanajisifia kwa USTAARABU!!! ... UKO WAPI?Hakuna mechi Simba amewahi kufungwa goli 7 , huu ni udhalilishaji na hatutakubali
View attachment 2971707
Kumbe wewe ni kolo, siku zote huwa unajificha Pyeeeeeee...!🤸
Kwa kukujuza tu, mimi sio Yanga wala sio SimbaMy friend, umekuwa Mwananchi now days.
Nimekumbuka kipindi cha Fei toto.
Uliwakataa Wananchi
2012 ni zamani sana mambo yanabadirika. Ukipata nafasi ya kufurahi tumia nafasi hiyo to the fullest usijivunge kuonyesha furaha yako.Hiyo inadhihirisha yanga kuifunga simba Goli nyingi kwao ni ajabu na ndoto, mwaka 2012 simba ilipoifunga yanga 5-0 kwenye VPL, sidhani kama simba waliweka bango au mbwembwe zozote zile
Kwani ustaarabu ni kutokufurahia matokeo yako mazuri?... eti Yanga huwa wanajisifia kwa USTAARABU!!! ... UKO WAPI?
C. InawaumaA)Ujinga
B) Utani.
A or B
Mtazamo wa mtu ni utashi wake.
Maumivu yakizidi muone daktareeee 🤣🤣🤣🤣Hilo bango na linyewe na makunguru...
Shubamitiiii
Wewe katoto katundu 😃C. Inawauma
Njoo yanga ufurahi mara 99 unune mara 1Wewe katoto katundu 😃
☹️Njoo yanga ufurahi mara 99 unune mara 1
Sawa ndio wampe Mzize hela ya heshima basi sio kumlipa kama housegirl wanguBado Yanga wamelipwa kwa hilo Bango.
business Stevoo
You are out of question..keyword: ikiwa.
Tangu msimu huu umeanza nionyeshe ni lini mlirefer matokeo ya aggregate na timu nyingine?
Nilikuwa naweka rekodi sawa tu mkuu by the way 2012 siyo zamani kihivyo ni muongo uliopita tu hapo, hata Tanzania ilikuwa ishatoka kwenye ulimwengu wa analogia kuja kwenye ulimwengu wa kidigitali, na social media zilikuwa zishaanza kuzaliwa2012 ni zamani sana mambo yanabadirika. Ukipata nafasi ya kufurahi tumia nafasi hiyo to the fullest usijivunge kuonyesha furaha yako.
Mshukuru watu kama sisi siyo viongozi. Tungeulia mbali huo utani kama utani wenyewe umekuwa huu Eti full time 7-2You are out of question..
Hizi tambo zinakera ikiwa wewe ndiye unayekerwa. Kila jambo lipe muda lina mwisho wake.Nilikuwa naweka rekodi sawa tu mkuu by the way 2012 siyo zamani kihivyo ni muongo uliopita tu hapo, hata Tanzania ilikuwa ishatoka kwenye ulimwengu wa analogia kuja kwenye ulimwengu wa kidigitali, na social media zilikuwa zishaanza kuzaliwa