saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Ullifeli hesabu ndg snHakuna mechi Simba amewahi kufungwa goli 7 , huu ni udhalilishaji na hatutakubali
View attachment 2971707
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ullifeli hesabu ndg snHakuna mechi Simba amewahi kufungwa goli 7 , huu ni udhalilishaji na hatutakubali
View attachment 2971707
Home 5 + Away 2 = aggregate 7Timu ya Yanga imeweka bango kubwa maeneo ya Fire jijini Dar es Salaam linaloonesha matokeo ya jumla ya kipigo walichotoa kwa mnyama msimu huu.
Kwa mechi zote mbili za msimu huu klabu ya Yanga Afrika imeisulubu Simba jumla ya magoli 7-2 kama inavyoonekana kwenye bango hapo..
Vipi maoni yako? Je Yanga wako sahihi kuwafanyia Simba hivi? Au huu ni udhalilishaji?
View attachment 2971704
Mpaka mtueleze nini maana ya Ubuntu Botho kudadadeki zenuAcha halmashauri zipate pesa kama wao mwamba waweke kila wilaya Tanzania nzima
Hiyo Ni Aggregate Ya Msimu 2023/2024Hakuna mechi Simba amewahi kufungwa goli 7 , huu ni udhalilishaji na hatutakubali
View attachment 2971707
Kwani shida nini hapo?Utoto na ushamba...ni akili za viongozi wa kizazi cha smartphone.
Liver alimpiga man u 7 lakini sikuona bangoUtoto na ushamba...ni akili za viongozi wa kizazi cha smartphone.
Sasa Yanga ni Liverpool? Na wao waje kuiga kwetu.Liver alimpiga man u 7 lakini sikuona bango
Huu ukatili mkubwa sana.Timu ya Yanga imeweka bango kubwa maeneo ya Fire jijini Dar es Salaam linaloonesha matokeo ya jumla ya kipigo walichotoa kwa mnyama msimu huu.
Kwa mechi zote mbili za msimu huu klabu ya Yanga Afrika imeisulubu Simba jumla ya magoli 7-2 kama inavyoonekana kwenye bango hapo..
Vipi maoni yako? Je Yanga wako sahihi kuwafanyia Simba hivi? Au huu ni udhalilishaji?
View attachment 2971704
Kuiga upumbavu ni ujingaSasa Yanga ni Liverpool? Na wao waje kuiga kwetu.
Hamia Liverpool sasaLiver alimpiga man u 7 lakini sikuona bango
Hahaaa, mkuu mbona makasiriko,Hilo bango na linyewe na makunguru...
Shubamitiiii
Ndio nilipozaliwa hukoHamia Liverpool sasa
Kama ligi haichezwi Kwa head to head kwann head to head ni kigezo kimoja wapo kumpata bingwa wa ligi ikiwa vigezo vingine vyote team zinazowania ubingwa zimelingana??Mechi za ligi hazichezwi kwa mfumo wa mtoano yaani aggregate. Anayejidhalilisha ni yule aliyeweka hilo bango la upotoshaji. Wanakamatwa kina GB64 kwa tuhuma za uchochezi, ila huu upotoshaji wa wazi wazi tunachekeana. Na hapo viongozi wa Simba wanaruhusu nembo ya klabu itumike kwa nia ya kupotosha kwa kisingizio cha utani wa jadi.
keyword: ikiwa.Kama ligi haichezwi Kwa head to head kwann head to head ni kigezo kimoja wapo kumpata bingwa wa ligi ikiwa vigezo vingine vyote team zinazowania ubingwa zimelingana??