Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Magufuli the president of east africa,akiunguruma tu,vyombo vya habari,mitandao ya kijamii,maraisi wa east africa wanaitika...hotuba ile ya kwanza kuongea kuhusu janga la corona citizen tv ikaitika,hatujakaa sawa,miguna miguna nae,dw hao nao hawakubaki nyuma,raisi Museveni nae akaitika...juzi napo hivyohivyo vyombo vya habari nchini uganda ni Magufuli tuKitu ninachojivunia utaifa wangu ni kwamba kiongozi wetu alifungua kinywa basi ukanda mzima unakaa kitako kumsikiliza π π π π
The whole Kenya was silent yesterday beholding their great majesty πππ
View attachment 1428672
This man is very unique,everybody dances to his flow