Yani hawa Ray na Kanumba ni vilaza kweli

Yani hawa Ray na Kanumba ni vilaza kweli

mysteryman

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2011
Posts
1,065
Reaction score
365
Eti kila mmoja kanunua gari la mil 200 yale yaliyowashinda wabunge, hawa jamaa zimo kweli? Hawajawa bado masuper star ndo hivo je wakiwa? Ulimbukeni bwana ni kitu kibaya sana, wao wanaona washamaliza kila kitu kumbe ndo kwanza safari ndo inaanza...vilaza sana hawa jamaa
 
Eti kila mmoja kanunua gari la mil 200 yale yaliyowashinda wabunge, hawa jamaa zimo kweli? Hawajawa bado masuper star ndo hivo je wakiwa? Ulimbukeni bwana ni kitu kibaya sana, wao wanaona washamaliza kila kitu kumbe ndo kwanza safari ndo inaanza...vilaza sana hawa jamaa

Mkuu hawajafanya kwa kuwa ni maarufu, mimi nadhani mfuko ukiruhusu unafanya chochote
 
Eti kila mmoja kanunua gari la mil 200 yale yaliyowashinda wabunge, hawa jamaa zimo kweli? Hawajawa bado masuper star ndo hivo je wakiwa? Ulimbukeni bwana ni kitu kibaya sana, wao wanaona washamaliza kila kitu kumbe ndo kwanza safari ndo inaanza...vilaza sana hawa jamaa

majungu..jinsia yako plz we ni me/ke?
 
Mkuu hawajafanya kwa kuwa ni maarufu, mimi nadhani mfuko ukiruhusu unafanya chochote

ni kweli bt kaka ndo wachukue ya mil20
kweli? Hivyo vifaa bado wanatumia bado ni vya third party....kwa hamna magari mazuri tu comfortable japo ya mil50?
 
Riwa sio wivu, unajua kiukweli watz hapa tulipofikia hakukua na haja ya mtu kutumia gari ya zaidi ya mil50 kiukweli kabisa...ni kuendelea kujitia umaskini bila kujua
 
Kununua gari la gharama kupita maelezo ni tabia ya most of sisi Tanzanians.... Yaani sie ni watumiaji kuliko kutunza pesa... Ni sawa tu na simu, mtu unamshahara wa laki nane (Tsh. 800,000/=) na wala huna shughuli nyingine but simu ulonayo ni 1.2 M....
 
Karibuni tuzungumze maisha ya watu.com
 
mimi sidhani kama hayo magari ni ya Mil 200,sema Shingongo ndo kakoleza front page yake ili masaburi wanunue...magari yanayoagizwa TOYOTA through agent ndo yanaweza fika hizo bei Mil 200 na ni ya km <200 kwahiyo yy ameyathaminisha yakiwa mapya na sio mapya kama una bahati ya kuyaona yana km>100,000 ambayo market price yake haizidi Mil 80,mpaka litue hapa
Kama unataka kuamini nenda pale autorec,Japan vehicles utayakuta
 
wamenunua magari gani? Toyota Stout au Datsun? Au wamefunika kabisa kwa kununua Bedford na Leyland Daf?
Mi nashauri wangenunua Isuzu Injection
 
Thats just to fulfil their taste!...In Economics, when someone has ability to buy something, then Fashion comes into operation immediately!
Watatembelea magari hayo kwa muda, then wakiona yamepitwa, watauza na kununua mengine!
So usione hatari sana, kwaani hata muuzaji anapenda ayauze ili aendelee na biashara ya kuleta mengine...Be fair to both ways broda!
 
wamenunua magari gani? Toyota Stout au Datsun? Au wamefunika kabisa kwa kununua Bedford na Leyland Daf?
Mi nashauri wangenunua Isuzu Injection

hahaha mkuu eti wamechukua lexus v8
 
Mi najua ni masifa ya kununua, hapo wamelipa fedha ili shigongo awafagilie, hamna lolote.
 
kama ni kweli hongera zao, hatuwezi kujadili maamuzi ya mtu wakati ela ametafuta mwenyewe hivyo akiweza kulitunza au asiweze hayo yote ni yake binafsi.
 
usuper star wa mtu uko kichwani mwake,kama wameshanunua jua wanaweza na wamefikia kiwango hicho.

naombeni tujadili mambo ya msingi.
 
Kama pesa ipo kwanini asitumie yake mwenye anajua vp kaipata kama kwa raha au kwashida...
 
Roho ya kwa nini,wangenunua PORSCHE na FERARI je?da wivu mbaya
 
Eti kila mmoja kanunua gari la mil 200 yale yaliyowashinda wabunge, hawa jamaa zimo kweli? Hawajawa bado masuper star ndo hivo je wakiwa? Ulimbukeni bwana ni kitu kibaya sana, wao wanaona washamaliza kila kitu kumbe ndo kwanza safari ndo inaanza...vilaza sana hawa jamaa

Mbongo utamgundua tu kwa vile wewe huna basi unaona wao vilaza.
Acha wivu wa kike huo
 
Back
Top Bottom