Yani hawa Ray na Kanumba ni vilaza kweli

Yani hawa Ray na Kanumba ni vilaza kweli

Hii ni ya RAY.

DSCN4201.JPG

DSCN4197.JPG

DSCN4199.JPG


DSCN4193.JPG


DSCN4185.JPG

Wadau nawashukuru sana kwa kuweza kunipa ushauri na kuniunga mkono kwenye kazi zangu na kufika hapa nilipo huu ni usafiri wangu mpya hii yote ni nyinyi wadau kwa kuweza kununua kazi zangu original na sio feki nawashukuru sana na pia namshukuru Mungu wangu maana yeye ndiye kila kitu waandishi sio scandle tu na mafanikio pia muyaandike
 
Hii ni ya KANUMBA

C1.gif

SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWENU MASHABIKI WANGU WA KWELI NA WENYE UZALENDO NA KAZI ZA WASANII WA NYUMBANI,MFALME WETU WA MBINGU NA DUNIA JEHOVA AZIDI KUTUBARIKI,KUTUONGOZA NA KUTUSIMAMIA, HEKIMA NA MAARIFA ISITUPUNGUKIE HASA TULIO WAKE MAANA KATUAHIDI KUWA VINARA NA SI MKIA.
C9.gif
C8.gif
C6.gif
C5.gif
C4.gif

C3.gif
C2.gif
 
Uliyesema ni vilaza una wivu wa kike,, Mi binafsi sio mpenzi kabisa wa movie zao lakini nawakubali hawa vijana kwa ubunifu wao wa kutafuta maisha kwa kazi za mikono yao na mungu awazidishie maana wengi wetu tumekalia kuilaumu serikali haitoi ajira na kushindwa kubuni chochote cha kujiajiri na hata tulioajiriwa kazi ni kuwaza kutajirika kwa wizi na rushwa tu wakati wapiganaji wa kweli wanatafuta riziki bila kusubiri kubebwa na Jk wala Dr slaa,, Wanapigana wenywe kutafuta riziki hata kwa movie za camera moja mkono uende kinywani,, Kwa maisha ya kuajiriwa ni ngumu sana kuwa na kipato cha hawa jamaa bila ya wizi,,

Matumizi ni maamuzi ya mtu kama anajua kutafuta pesa na kujiajiri ndo silaha kuu kupambana na hali mbaya ya uchumi iliyopo sasa duniani kote,
Nilioneshwa nyumba moja Tabata bado inajengwa na Ray sikuamini kama Bongo movies inaweza kuwafikisha hapa ilipo na hii kutokana na kujituma na kutosikiliza wakatishaji tamaa kama wewe muanzisha maada kwa kumuita mtu ALIYEJIAJIRI KILAZA WAKATI WEWE UMEAJIRIWA UNAISHI KWA KUTUMWA NA MABOSI WAKO OFISINI,, SHAME ON YOU,,
huko Nigeria waigizaji kina genevive nnaji na wengineo ni graduates lakini wameamua kuingia kwenye sanaa kwa sababu ya kipato kidogo kazini na shida za kuajiriwa,, hopin unaona they are lifestyle on dstv if you have it at home
kwa kumalizia kwa mshahara wa ofisini bila wizi ni ndoto kwako kuja kumiliki hayo magari na hizo nyumba wanazojenga hawa jamaa tena bila kujibana (sababu wanakula bata daily, wanaendesha magari wanayopenda na kudate na galz they wish)
 
Uliyesema ni vilaza una wivu wa kike,, Mi binafsi sio mpenzi kabisa wa movie zao lakini nawakubali hawa vijana kwa ubunifu wao wa kutafuta maisha kwa kazi za mikono yao na mungu awazidishie maana wengi wetu tumekalia kuilaumu serikali haitoi ajira na kushindwa kubuni chochote cha kujiajiri na hata tulioajiriwa kazi ni kuwaza kutajirika kwa wizi na rushwa tu wakati wapiganaji wa kweli wanatafuta riziki bila kusubiri kubebwa na Jk wala Dr slaa,, Wanapigana wenywe kutafuta riziki hata kwa movie za camera moja mkono uende kinywani,, Kwa maisha ya kuajiriwa ni ngumu sana kuwa na kipato cha hawa jamaa bila ya wizi,,

Matumizi ni maamuzi ya mtu kama anajua kutafuta pesa na kujiajiri ndo silaha kuu kupambana na hali mbaya ya uchumi iliyopo sasa duniani kote,
Nilioneshwa nyumba moja Tabata bado inajengwa na Ray sikuamini kama Bongo movies inaweza kuwafikisha hapa ilipo na hii kutokana na kujituma na kutosikiliza wakatishaji tamaa kama wewe muanzisha maada kwa kumuita mtu ALIYEJIAJIRI KILAZA WAKATI WEWE UMEAJIRIWA UNAISHI KWA KUTUMWA NA MABOSI WAKO OFISINI,, SHAME ON YOU,,
huko Nigeria waigizaji kina genevive nnaji na wengineo ni graduates lakini wameamua kuingia kwenye sanaa kwa sababu ya kipato kidogo kazini na shida za kuajiriwa,, hopin unaona they are lifestyle on dstv if you have it at home
kwa kumalizia kwa mshahara wa ofisini bila wizi ni ndoto kwako kuja kumiliki hayo magari na hizo nyumba wanazojenga hawa jamaa tena bila kujibana (sababu wanakula bata daily, wanaendesha magari wanayopenda na kudate na galz they wish)

umenena vema nakubaliana na wewe 99.9% But kuhusu wivu wa kike umekosea...hebu nenda kwenye vijiwe vya wanaume skuiz eg ma vyuoni, kwny biashara ndogondogo then sikiza maongez yao! Hamna tofaut na maongez ya kike labda mpira tu! So utagundua vijana wakiume wanawivu wa kijinga zaid kuliko wa kike ndo maana wanachukuwa muda mwingi kuwa discus madem mara sjui iv sjui vle....
 
ni kweli bt kaka ndo wachukue ya mil20
kweli? Hivyo vifaa bado wanatumia bado ni vya third party....kwa hamna magari mazuri tu comfortable japo ya mil50?

mbona haueleweki? mara mil200 mara mil20, sasa tuelewe lipi?
 
Hongera zao na mungu awazidishie,walipokuwa wanaanza tuliwacheka sana wamefanikiwa badala tuwapongeze tunawaponda hakika hasidi hana sababu lol!
 
hahaha mkuu eti wamechukua lexus v8
Maisha yao wewe yanakuhusu nini deal with your own life and stop being a hater hata wakitumia milioni 100 inaongeza au inapunguza nini kwako?
 
well mi kuna sehemu nilisomam kuwa Ray kanunua shangingi USED milioni 60 which is fair kwake pia...nadhani hizi movie zoote za kibongo tunazodanganyika nao, its fair kuwa awe na kitu kama hicho kwa sababu purchasing power anayo. Million 200 ni exageration tu hakuna lolote.
 
Mleta mada acha uongo hayo magari hayafiki hiyo bei nenda kwenye blog zao wenyewe wameandika bei hata mili 100 hayafiki,
 
We mleta uzi
kwanini unawatuc
wenzio instead
work hard ununue
hata mbuzi wa maziwa
acha kutumia ngv nyingi kuhangaika
na maisha ya wenzio!
 
Kununua gari la gharama kupita maelezo ni tabia ya most of sisi Tanzanians.... Yaani sie ni watumiaji kuliko kutunza pesa... Ni sawa tu na simu, mtu unamshahara wa laki nane (Tsh. 800,000/=) na wala huna shughuli nyingine but simu ulonayo ni 1.2 M....

The cart (fame) is b4 the horse (self awareness).
 
Maisha ya nchi maskini huwa yananishangaza sana. Bora hiyo hela wangeenda kusomea sanaaa walau kwa kiwango cha digrii kuliko kinunua ji-gari ambalo halikuletei faida yoyote zaidi ya hasara.

Ray na Kanumba nendeni shule ili baadae muwe walimu wa sanaaa; acheni uf$4$**XYZ.
 
Back
Top Bottom